Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tuna Kikosi Cha hali Mbili....

1) Kikosi cha Kushindania Kombe Kwa Shart la Kuwa Wachezaji Wetu Wa FXI Wacheze Michezo yote 38 bila ya injury wala rotation. (Haitowezekana).

1) Kikosi cha Kugombania Top Four Kwani in case of injury or rotation hatuna Back up Wa Kuweza Kutupa Ushindi au Kubadilisha Mchezo. (Hili linawezekana).
Liverpool hii ina depth na quality ya kugomabania ubingwa na city

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fekir: I heard a lot of things. The real reason? Only Liverpool FC know.

These things happen, it’s just how it is. We have to move on, it’s well in the past now.

I have totally come to terms with the failed transfer to Liverpool FC.
 
Haaha mkuu usichukulie siriyasi sana maoni yangu ..hata hivyo unatakiwa usiwe siriyasi sana maana huu ni ushabiki tu.

Kiukweli liverpool mimi siichukii ni ushabiki tu ili kupeana mauzoefu kuhusu football. Mimi ni mutu ya utani sana!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakwelewa sana, ndo maana nasema wewe ni moja ya washabiki wa kuchangamsha jukwaa, mtu asipokuelewa anajikita anapanic analeta statistics kumbe hata huzihitaji.

Pamoja sana mkuu.
 
Nikuombe sana Mzee wa kaya. Hebu angalia you tube clip ya Allison Becker" the crazy server and reflexes" utakubali ubora wake.
Anawatamanisha fowadi kupiga mijishuti.
Anawapa morali mabeki wake. Hebu jaribu tu.
Ataongoza clean sheet EPL

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliison sidhani kama atafikisha gemu kumi bila kuchomwa ..kwa gemu ya leo tu kuna uhakika wa kuchomwa goli mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alisson Hapimwi Kwa Mechi Hizi Mbili Kama unavyodhania Wewe! Alianza Kupinwa Tokea Yupo Roma na Tukaona anafaa Na ndiyomana Tukamnunua.
Hivi EPL kuna Mikiki Gani Mikubwa Kuliko Aliyokutana Nayo Champion League?
Au Hukumbuki Kama Alisson akiwa Na Roma aliifunga Chelsea Yenye Hazard, Kante, Morata, Willian n.k? Sasa Kuna lini Jipya EPL lakumshinda Wakati Aliwazuia Hao Wachezaji Wenu Bora Kwenye CL?
Jifunze Kukumbuka Alisson sio Amateur Kama unavyoamini Bali Ni Full experienced Goalkeeper.
Kumbuka huyo huyo Allison alifungwa na Mane na Salah goli tano wakati akiwa hapo hapo Roma kwa iyo sio kipa wa kusema kuwa anaweza kuwa kipa bora wa EPL ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka huyo huyo Allison alifungwa na Mane na Salah goli tano wakati akiwa hapo hapo Roma kwa iyo sio kipa wa kusema kuwa anaweza kuwa kipa bora wa EPL ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Manne na Sallah ni hadithi nyingine
This time wapo Chama kimoja LFC.
Ongezea morali( this time sio kelele) ya Anfield.
Changanya na ukabaji Wa Keita,vvd gomes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujitoa ufahamu kwa ushabiki wa kijinga Crystal Palace walituzidi nini
Ball possession ilikuwa 37 % kwa Palace 63% kwa Liverpool
Shoot on target Palace alikuwa na 2 Liverpool alikuwa na 8 tulizidiwa vipi Acha mihemuko
Sio mihemko mkuu ..izo takwimu zinaweza kubadilika mkuu ...Liverpool akawa na BP 37% na Briton akawa na 63% ..hii game ya leo sio rahisi kihivyo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom