Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hahahahah, pmj na hiyo striker wa papatu papatu hata mmoja atafaa sana, Sturudge angekuwa bado ana akili kama kipindi yuko na akina Suarez tungesema ngoja ataongoza jahazi lkn siku hizi kawa kiumbe wa pacha tu na mwoga mwoga
Aliye wa prove wrong ni WW na wenzako na slogan yenu ya Klopp OUTMkuu unajua Kuwa Klopp Tayari Ameshakuprove Wrong?
Sisi Tulimlalamikia Sana Msimu Wa Mwaka Juzi Kuwa Hafanyi Usajili na alikuwa na Kikosi Kibovu.
Hatimae wewe ulitupinga sana na Kumkingia Kifua Kuwa Klopp hana Kikosi Kibovu na Ukajigamba Kuwa Kikosi cha Kina Klavan, Moreno, Clyne, Lallana, Origi, Sturridge, Mignolet, Milner, Lucas na Can Kuwa Kingelichukua [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG].
Sasahivi Klopp kakuprove Wrong, na sisi Katuprove right Kuwa Ameshajua Kumbe Hile Liverpool ya Misimu iliyopita ambayo wewe uliinadia Ubingwa Mara Kadhaa Kuwa Si lolote Bali Ni Nyoko tu.
Sasa Ameamua Kusajili Wachezaji Wa Maana Ambao Tulipiga Kelele Kwa Muda Mwingi Kuwa Waletwe Kwani Waliopo Kabla Walikuwa Hawafai ingawa Kwa Upande Wako Walikuwa Ni Bora.
Sasa Nakushangaa Wewe Unaegeukageuka Kwa Kumsifia Klopp Kuwa Anasajili! Huoni Kuwa Wachezaji Wako Wazuri Kina Moreno, Clyne, Lallana, Origi, Milner, Klavan Wataishia Kupotea?
Wewe Ulikuwa Umlaumu Klopp Kwa Kufanya Usajili Mpya Wakati Wachezaji Wazuri uliowaamini Kuwa Wangebeba EPL Liverpool tunao.
Mkuu usigeuke! Ukweli Ni Kwamba Klopp Kakuumbua Fikra Zako Za Kusifia Wachezaji Wabovu Kwani Fikra ya Usajili Haikuwa Yako Bali ilikuwa Ni Fikra Yetu Sisi Ambayo Ulituona Kuwa Tunakosea Tunapolalamikia Usajili.
Alipokuwa Na Kikosi Kibovu Ulimsifia Kikosi Chake Kuwa Ni Bora na Kutupinga Sisi Tuliosema Klopp anaongoza Timu Mbovu.
Sasahivi Amefanya Usajili Tayari Umeshaachana na Fikra Za Kupenda Kikosi Kibovu, badala Yake Unasifia Kikosi Kipya Walichoongezwa Kina SALAH, OX, ROBERTSON, VVD, KEITA, FABINHO, ALLISON na XHAQIRI.
Asante Klopp Kwa Kutukubalia Mitazamo Yetu Tuliyokuwa Tukiinadi Kuwa Liverpool Ni Timu mbovu inayohitaji Usajili Mkubwa! Na Sasa Umeshafanya Kwa Asilimia 90% Yale Tuliyoyadai kwahiyo Kwasasa Hatuna Cha Kukulaumu Katika Usajili Hata Usiposajili tena Kwa Dirisha Hili.
Aliye wa prove wrong ni WW na wenzako na slogan yenu ya Klopp OUT
Mm na watu wachache sana ndiyo tulikuwa tunawafundisha kuwa Kopp anajenga tema,kama Klopp kakuta team yote mbovu na hawezi badiri team yote ktk msimu mmoja!
Team imeanza kukaa vyema sasa naona mnaanza rundikia watu wengine maneno yenu yawe yao!
Klopp out yenu bado ipo?
Aliye wa prove wrong ni WW na wenzako na slogan yenu ya Klopp OUT
Mm na watu wachache sana ndiyo tulikuwa tunawafundisha kuwa Kopp anajenga tema,kama Klopp kakuta team yote mbovu na hawezi badiri team yote ktk msimu mmoja!
Team imeanza kukaa vyema sasa naona mnaanza rundikia watu wengine maneno yenu yawe yao!
Klopp out yenu bado ipo?
Sadio mane atavaa jersey #10 msimu wa 2018-2019View attachment 814057
Bado tunahitaji striker mmoja au wawili strikes wa vurugu vurugu pale mbele na wa kulazimisha wale papatu papatua
Mane Tayari ameshapewa Namba Halisi inayomfaa!
Kuna Wachezaji Kama Robertson na TAA pia Wanahitaji Wafanyiwe Marekebisho Ya Namba Zao Kwani Walizonazo Hazimake Sense.
Pia Fabinho naye itambidi Apatiwe Hile Namba 6 Kwani inatosha Kwa LOVREN kuvaa Jezi Namba 3 ambayo Mpaka Sasa Haina mtu anayeivaa ndani Ya Liverpool.
Pia Alisson apatiwe Jezi yenye Namba 1 Kwani Karius Hajaitendea Haki Hiyo Namba.
Karius anaweza vaa Hata hiyo 19 aliyoiacha Sadio Mane.
[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
Ilikiwa inavaliwa na nani kabla yake mkuu..!?
Kiasi MosDef unanisababisha nibadili mtazamo wangu juu ya huyu Allison.....but, but.....
Mmeamua kutengeneza statistics zenu kabisa last season kwenye EPL tu De Gea alikuwa na clean sheet 18
Ok guyss. that's great in here!
Naomba kupata more info kuhus ishu ya Fekir..
Jamani inamaana huyo Dogo Rhian Brewster ndio kawa promoted na kuingia kwenye squad moja kwa moja au bado ni Academy member ? Huwa niko shallow kidogo kwenye issues hizi CC: MosDef
mimi bado nadhani shida yetu ipo kwa Archberg kuliko kwa hawa mapika wetu hata huyu Allison labda aje na vitu vyake vya ziada ila akifuata mafundisho ya huyu jamaa atarudia mistake za Migs na Karius
let's hope he is going to be good addition to our squad
Za siku Carlos Texteira hahahahah
Wilson kashaenda derby kwa mkopo na Ryan Kent pia kashatua rangerskishakuwa promoted, his agent ameplay part kubwa sana.
Wilson ataondoka kwa mkopo nadhani, naona Klopp bado hajaridhishwa na huyu kijana, but nadhani kama ni loan apelekwe kwenye team ambayo inashiriki EPL pia,
youngsters ambao naona wanaweza kufata nyayo za Trent, ni Brewster, Curtis Jones na Camacho. i'd say masterson too, but hao watatu ni the most talented hasa Curtis Jones.
nadhani Klopp will use Brewster a lot this season kutokea Bench.
Wilson kashaenda derby kwa mkopo na Ryan Kent pia kashatua rangers