Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

imagine kutokuwa excited about us signing Allison wakati tuna Migs, Ward and most of all a young Keeper who is not even mentally fit kwasasa.
 
Allison kama atanunuliwa nitakuwa nina imani na mtu aliyepo golini. Kuna watu huwa nawashangaa sana wanavomsifia Mignolet kwamba ana uafadhali kulio Karius, ni either hawamjui au sielewi yaani
 
ALLISON is a TOP TOP TOP KEEPER bro.

Yes, ana cencetration errors in him, but can be easily coached.

we scored 7 goals past him, but show me hata mistake moja aliyofanya??? i think we need to discuss about how good Salah and Firmino walivyokuwa against him.

we scored 5 goals (2 legs) Vs City, and 4 goals in the league against City, does it mean Ederson is bad? we were just too good for Roma.

i think watu wengi wamemuona Allison kwenye CL against LFC na kwenye WC. yes he did not impress kwenye WC, but at the same time Lovren/Rebic/Boyata/Pickford/Larrison etc impressed in the world, kwa minajili hiyo are they better than Ramos/Boatend/Hummels/Pique/Manuel/De Gea/Messi etc who failed to impress kwenye WC?

We are getting a TOP keeper, and its been a while, its time we get a certified GK kuliko kuhangaika na project GK ambao ni risk.

people will judge Allison because of that CL game Vs us and the WC but i bet hawajawahi kuangalia hata game mbili za serie A msimu mzima uliopita ili kujiridhisha kuhusu ubora wa Allison.

60m is huge for a Keeper, but we said the same thing Kuhusu VVD but look what VVD alichokifanya kwenye our defense.

Pep Guardiola once said "you win trophies by buying quality players and they cost a lot"


We're getting a top keeper bro, ondoa shaka.
Allison sio kipa mzur kama ulivyompamba hapo, Alison ni kipa wa kawaida, kwa tunaifatilia Seria A, Usitegemee Allison Aibebe timu kama kina Neur, degea sahau hilo, narudia ni kipa wa kawaida,

Walidaka pamoja na Wojciech wa Arsenal pale roma ,huyu Allison alikalishwa bench misimu miwil mfululizo ,alikuwa anapata nafas Italian cup bado uwezo mdogo , mpaka Juve walipomnunua Wojciech , ndipo roma wakatafuta kipa wakakosa, wakaona wampe allison namba 1 , cha ajabu kwenye seria A wakamaliza namba 3-4 ,

Huyu Allison hata timu ya taifa Hajafanya lolote la maana kama kina Tibaut cortouis , pickford, Ochoa , na ndio maana Timu yao haikufika mbali,

Roma toka walipomuuza salah wanaamin sasa ni muda wa kupiga hela tu,

Becker ni kipa mzuri sawa na kina Butland tu, Hizi kelele za kuwa overate huwa zinatokea mara nying tu na anayejichanganya huwa anapigwa, ishatokea kwa man u dili la pogba , Hii michezo hufanywa na Mino Raiola, alitaka kufanya hivo kwa Gigi donaruma wakati ni kipa mzembe tu, vilabu vilishtuka na dili likafa mpaka sasa hatusikii kelele, sasa hiv Naona upepo umehamia kwa Becker.


Umemzungumzia VVD, hivi ni nan aliyekuwa hamjui VVD ?

Huyu kila mwanamichezo aliuona uwezo wake, ndio maana Arsenal, chelsea, Liverpool, man city Walimuhitaji.

Tena kumbuka hakuwa anatoka nje ya epl, ni hapo hapo EPL.Ndio maana haikuwa ajabu liver kutoa £75m
 
Allison sio kipa mzur kama ulivyompamba hapo, Alison ni kipa wa kawaida, kwa tunaifatilia Seria A, Usitegemee Allison Aibebe timu kama kina Neur, degea sahau hilo, narudia ni kipa wa kawaida,

Walidaka pamoja na Wojciech wa Arsenal pale roma ,huyu Allison alikalishwa bench misimu miwil mfululizo ,alikuwa anapata nafas Italian cup bado uwezo mdogo , mpaka Juve walipomnunua Wojciech , ndipo roma wakatafuta kipa wakakosa, wakaona wampe allison namba 1 , cha ajabu kwenye seria A wakamaliza namba 3-4 ,

Huyu Allison hata timu ya taifa Hajafanya lolote la maana kama kina Tibaut cortouis , pickford, Ochoa , na ndio maana Timu yao haikufika mbali,

Roma toka walipomuuza salah wanaamin sasa ni muda wa kupiga hela tu,

Becker ni kipa mzuri sawa na kina Butland tu, Hizi kelele za kuwa overate huwa zinatokea mara nying tu na anayejichanganya huwa anapigwa, ishatokea kwa man u dili la pogba , Hii michezo hufanywa na Mino Raiola, alitaka kufanya hivo kwa Gigi donaruma wakati ni kipa mzembe tu, vilabu vilishtuka na dili likafa mpaka sasa hatusikii kelele, sasa hiv Naona upepo umehamia kwa Becker.


Umemzungumzia VVD, hivi ni nan aliyekuwa hamjui VVD ?

Huyu kila mwanamichezo aliuona uwezo wake, ndio maana Arsenal, chelsea, Liverpool, man city Walimuhitaji.

Tena kumbuka hakuwa anatoka nje ya epl, ni hapo hapo EPL.Ndio maana haikuwa ajabu liver kutoa £75m

Claiming to be a big fan of Serie A and yet you have the audacity to call Allison becker "average".

Anyway, ukiwa kama mshabiki mkubwa wa Serie A, you need to know kuwa Allison alitumia msimu mmoja tu kukaa bench nyuma ya Woj, na ndo ulikuwa msimu wake wa kwanza pale Roma, he joined msimu wa 2016/17 na msimu uliofatia wa 2017/18 (ulioisha may this year) alikuwa main starter, so it means Allison akiondoka Roma this summer atakuwa amespend only 2 seasons at Roma.

then, it should be widely known kuwa, Allison joined Roma akitokea league ya Brazil, it means aliingia europe akiwa na miaka 23, na wakati anafika Roma tayari walikuwa na Woj, keeper ambaye ametokea Arsenal na amedaka kwenye EPL na CL, sasa ukiwa kama Coach utamuanzisha moja kwa moja keeper aliyetokea kwenye league ya brazil au Keeper ambaye ameshaidakia moja ya club kuwa ya uingereza na ambaye ana experience kubwa ya EPL, CL na european football kwa ujumla?

Ter Stegen spent 2 seasons nyuma ya Bravo at Barca, mpaka alipopata nafasi ya kuwa first team keeper, Neuer breaking point kwenye career yake came when Frost got injured (at schalke 04), joined bayern when he was 24. then Van der sar pick years as a keeper came when he joined Utd mwaka 2005, he was 35 years old, same can be said for jens lehmann who joined Arsenal when he was 34, and now you want to downgrade a keeper who interests big clubs like Madrid, Chelsea and Liverpool akiwa na miaka 25 tu?, tena baada ya kuwa na msimu mmoja tu full at Roma.

Huwa nashindwa kumchukulia mtu yeyote serious ambaye anatumia internalional football (WC/Euros/Copa/Afcon) kurate players, mashindano ya mechi 7 tu, and kwa argument yako ni kuwa Pickford/Ochoa/Subasic etc are better than De gea and Manuel kwasababu tu they failed kufika hata robo fainali? and pia they're so much better than Oblak kwasababu hakufika hata WC?

and how can you compare Allison na GK kama Pickford ambaye ana worse stats than Karius kwenye msimu wa league uliopita? ni kwasababu alifika semi finals za WC? you cant be serious.

VVD? every jounals and rival fan laughed at us for paying 75m for VVD, hata some of our fellow LFC fans walikuwa na mashaka na hicho kiasi (we had a lot of discussions humu pia kuhusu hiyo price tag), hakuna mtu aliyeshtuka? we broke the record kuhusiana na fee ya CB and he was not Ramos/Godin/Hummels/Varane/Bonuci/Chielini etc he was just a "good" (Acc to medias and rival fans) from Southampton and not Madrid/Atletico/Bayern/Juventus.

You cant call a keeper with this stats average, for a club like LFC ambayo inatumia zaidi counters, this is a right keeper. last season alikuwa na better stats than the 2nd best keeper in the EPL kwa msimu uliopita, Ederson. na bado unamfanisha na Pickford/Butland. before commenting on a player ni lazima tujifunze kuwa na home scout abilities ili kujua weakness na strength za mchezaji husika. nilitegemea kuona technical weaknesses za Allison from your post but sijaona kitu kinachojustfy kuwa na discussion kuhusu Allison
 

Attachments

  • C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_DiUrZrFVMAAiXWT.jpg
    C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_DiUrZrFVMAAiXWT.jpg
    32.2 KB · Views: 29
Allison sio kipa mzur kama ulivyompamba hapo, Alison ni kipa wa kawaida, kwa tunaifatilia Seria A, Usitegemee Allison Aibebe timu kama kina Neur, degea sahau hilo, narudia ni kipa wa kawaida,

Walidaka pamoja na Wojciech wa Arsenal pale roma ,huyu Allison alikalishwa bench misimu miwil mfululizo ,alikuwa anapata nafas Italian cup bado uwezo mdogo , mpaka Juve walipomnunua Wojciech , ndipo roma wakatafuta kipa wakakosa, wakaona wampe allison namba 1 , cha ajabu kwenye seria A wakamaliza namba 3-4 ,

Huyu Allison hata timu ya taifa Hajafanya lolote la maana kama kina Tibaut cortouis , pickford, Ochoa , na ndio maana Timu yao haikufika mbali,

Roma toka walipomuuza salah wanaamin sasa ni muda wa kupiga hela tu,

Becker ni kipa mzuri sawa na kina Butland tu, Hizi kelele za kuwa overate huwa zinatokea mara nying tu na anayejichanganya huwa anapigwa, ishatokea kwa man u dili la pogba , Hii michezo hufanywa na Mino Raiola, alitaka kufanya hivo kwa Gigi donaruma wakati ni kipa mzembe tu, vilabu vilishtuka na dili likafa mpaka sasa hatusikii kelele, sasa hiv Naona upepo umehamia kwa Becker.


Umemzungumzia VVD, hivi ni nan aliyekuwa hamjui VVD ?

Huyu kila mwanamichezo aliuona uwezo wake, ndio maana Arsenal, chelsea, Liverpool, man city Walimuhitaji.

Tena kumbuka hakuwa anatoka nje ya epl, ni hapo hapo EPL.Ndio maana haikuwa ajabu liver kutoa £75m

Naona unaongea Kinazi sana bab
 
Ok guyss. that's great in here!
Naomba kupata more info kuhus ishu ya Fekir..
 
Let us give Allison a chance!! kuliko ku spend another season golini akiwepo karius na migs.. watakaokua wanavurunda everyday!!
 
Naona sasa tumeamua kusajili kiume

Can’t wait 2018/19 Season
true mkuu.

i have my concerns about Alisson - but hey - am happy that for once we have got one over Chelsea!

sasa lawama kwa FSG mimi nimeziacha rasmi kuanzia this minute.
wameonyesha ambition ya kiwango cha juu sana kumpatia Klopp wachezaji aliowataka, tena kwa gharama kubwa.
kama ni wazuri, kama ni wabaya, ni wa Klopp and Klopp only!

the ball is now back into Klopp's court..... SURELY HE MUST NOW DELIVER THE TROPHIES - OR ELSE.
 
true mkuu.

i have my concerns about Alisson - but hey - am happy that for once we have got one over Chelsea!

sasa lawama kwa FSG mimi nimeziacha rasmi kuanzia this minute.
wameonyesha ambition ya kiwango cha juu sana kumpatia Klopp wachezaji aliowataka, tena kwa gharama kubwa.
kama ni wazuri, kama ni wabaya, ni wa Klopp and Klopp only!

the ball is now back into Klopp's court..... SURELY HE MUST NOW DELIVER THE TROPHIES - OR ELSE.
True
 
Jamani inamaana huyo Dogo Rhian Brewster ndio kawa promoted na kuingia kwenye squad moja kwa moja au bado ni Academy member ? Huwa niko shallow kidogo kwenye issues hizi CC: MosDef
 
true mkuu.

i have my concerns about Alisson - but hey - am happy that for once we have got one over Chelsea!

sasa lawama kwa FSG mimi nimeziacha rasmi kuanzia this minute.
wameonyesha ambition ya kiwango cha juu sana kumpatia Klopp wachezaji aliowataka, tena kwa gharama kubwa.
kama ni wazuri, kama ni wabaya, ni wa Klopp and Klopp only!

the ball is now back into Klopp's court..... SURELY HE MUST NOW DELIVER THE TROPHIES - OR ELSE.
mimi bado nadhani shida yetu ipo kwa Archberg kuliko kwa hawa mapika wetu hata huyu Allison labda aje na vitu vyake vya ziada ila akifuata mafundisho ya huyu jamaa atarudia mistake za Migs na Karius


let's hope he is going to be good addition to our squad
 
Nachoweza kusema ni kuwa binafsi ninamkubali Klopp na naamini sana maamuzi yake. Kwa kukubali kutoa mkwanja huo, lazima ameona ni aina ya kipa atakayemfaa.
Big up & YNWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom