Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hv akiwepo fabinho,keita na huyu fekir tunayemtaka ambae ilisemekana ameshindwa medical still hendo ataendelea kupata namba??
 
Sometimes Kusoma Comments Najisikia Furaha Zaidi Kuliko Kum-Quote Mtu! 😀😀😀
Sijengi Picha Huyu Jamaa Shule alikuaje!!! Upo uwezekano Kuwa alibishana na Mpaka Principles/Theories/Laws za Scientists. 😀😀😀
LOL...
 
First-half team: Ward, Camacho, Phillips, Klavan, Robertson, Fabinho, Keita, Lallana, Kent, Ojo, Solanke.

Second-half team: Karius, Clyne, Gomez, Chirivella, Moreno, Milner, Woodburn, Jones, Wilson, Origi, Sturridge.

Academy goalkeeper Caoimhin Kelleher is available as an additional substitute.

Sio shabiki W liverpool ila npo hapa kutetea mkeka wng
 
Beki wako tegemeo ni Kolo Toure utachukua vipi kombe?
Karius anawapa watu bao za hovyo tena mbili unachukua vipi kombe?
Hendo bado anacheza na makombe yanakuja nyumbani
Trophy is coming home
Hendo atanyanyua sana kwapa kwa Liverpool hii
kaka kama ulivyosema "time will tell" .....in short Captain Steve delivered alipoweza mpaka anaodoka...sasa Hendo ni wakati wake tuombe uzima tuone naye atatuletea nini mpaka anaodoka...
 
Mbona huyo Hendo hajabeba hizo trash cups unazoziita wewe. Huyo Hendo hata acheze miaka milioni hafikii mafanikio ya Gerrard hata punje. Labda kwa kumlalamikia refa.
mkuu Kuna watu WA ajabu duniani yaani hendo ndo umlinganishe na hero...
 
Karius bado hajarecover na zile mistakes za kwenye CL final.

if anything, these two friendlies zimeonesha ni kiasi gani confidence yake ilivyokuwa damaged.

we seriously need a new keeper, i like Karius but he wont be good enough, we need a top keeper. kwa state ya Karius right now, it will be a big mistake kuanza msimu mpya akiwa golini.

The club and Klopp need to do something about this.
 
nilikuwa najiandaa kum-back again this season but i cant risk it.

he's not mentally fit at all, he needs time to settle again. loan will be a good option.

feel for him, but he wont be trusted anymore.
 
Karius bado hajarecover na zile mistakes za kwenye CL final.

if anything, these two friendlies zimeonesha ni kiasi gani confidence yake ilivyokuwa damaged.

we seriously need a new keeper, i like Karius but he wont be good enough, we need a top keeper. kwa state ya Karius right now, it will be a big mistake kuanza msimu mpya akiwa golini.

The club and Klopp need to do something about this.
Sio haja recover ,mbona hamtaki kukubaliana na ukweli kuwa karius hatakiwi kuwa kipa, karius ni modo ,

Nitaendelea kutokubali kuwa karius anafaa kuidakia klabu kubwa kama liver, Toka siku ya kwanza anapewa nafas nilimkataa,

Na kuna sababu za liver kufika Fainal,

Lkn alijificha kwenye hicho kivuli watu hawakumuona ,mpaka mech ya fainal ndio eti watu wanakuja kugundua karius sio kipa

Nilishangaa sana , Nasemaje siku klopp atakapoamua kumuamin mignolet badala ya karius bas hatanunua kipa

Japo wengi hamumpend mignolet , lkn ukweli unabaki makosa ya karius na ya mignolet, ya karius yamezid kipimo,

Halafu Mignolet kaja kukataliwa na kocha kipind liver imepata balance ya beki , baada ya ujio wa VVD ambaye ni master kwa mipira ya juu, kupanga wenzake,

Na ndio maana kama ni mfuatiliaji mzuri utagundua toka aje VVD bas hata shoot on target kwa liver zilipungua, ndio maana kuna mech kibao Karius alikuwa ana maliza Bila kupigiwa on target, nyingine zinaisha kapigiwa on target 1-3, bas, akicheza kwa kuziotea bas shughuli imeisha,

Na ndio maana kuna mech kama ya tot anadaka mpira anautema kwenye hatari, wanyama anautia wavuni,lkn beki inamlinda Timu inapata matokeo ya kutofungwa.

Hii hali iliendelea hata UCL mech ya porto, man city ziliisha bila on target , mech za marudiano ni mech ya man city tu etihad ilikuwa mtihan kwake lkn shukran ziende kwa VVD NA WENZAKE, walimlinda na mech ikaisha salama,

Hofu ilikuja kuzuka mech ya pili kule roma, kumbuka ya kwanza haikuwa na on target za maana , aliendelea kulindwa na beki iliyo chini ya VVD, japo yy karius hakutaka kuitumia hiyo advantage Apambane na kina DEGEA kwa ubora,

Mech ya pili ya roma walikuwa wanapiga sana nje ya box, hapo baadh ya Mashabiki wakaanza kushtuka hapa Hamna kipa,

Mech ikaisha salama liver akasonga fainal, HII NDIO SAFARI YA KARIUS KUFIKA FAINAL.

Lakini siku zote za mwiz ni 40 , fainal kawazawadia magoli madrid

Japo BEKI YA LIVER ILICHEZA VIZURI KAMA SIKU ZOTE ILIVYOMLINDA, Kuanzia VVD,LOVLEN, ROBO, TAA wote walimdhibit CR7, NA genge lake.

Sasa ninaposikia eti KLOPP ANAMUAMINI TENA KARIUS adake msimu ujao nashangaa sana, MIMI SIO MWANA LIVER ILA ni moja ya klabu ninayoipenda na kuigmfatilia ,

Kwa hili alilofanya karius na Matus anayoporomoshewa Instagram, BASI KLOPP ataacha kibur chake na kurud sokon kutafuta kipa

Au ningemshauri amuamini Mignolet , ana udhaifu ila sio kama wa karius
 
BIRKENHEAD, England -- Jurgen Klopp says Loris
Karius can expect intense scrutiny this season
after he committed another error during
Liverpool's preseason win over Tranmere Rovers
on Tuesday.
In Karius' second appearance since his error-
stewn performance in last season's 3-1
Champions League final defeat to Real Madrid in
May, the goalkeeper spilled Ollie Norburn's drilled
free kick from close range that allowed
Tranmere's Jonny Smith to swoop in and score.
Klopp recently defended the 25-year-old on
Liverpool's official website, believing the
concussion he sustained in Kiev was "100
percent the explanation" for his errors.
Speaking after the Tranmere game, the Liverpool
manager tried to downplay Karius' mishap
against the League Two side.
He said: "Now Loris concedes that goal but we
cannot start the story always after each
mistake. Mistakes will happen.
"I don't like it. You don't like it. He doesn't like it
but they do happen, so let's carry on and make
the best of all these situations to learn from it.
"You [the media] can all stop it immediately --
promise. You never ask again, that would be one
little step.
"Yeah, [the reaction] will probably happen for a
while until he has a few fantastic games -- that
is how the situation is. We cannot change that.
Our job is to perform and you do what you do
and that is part of the deal.
"It is obvious, we don't have to hide it. Yes, he
could have made that save, even though the
shot was not easy to deal with. I've seen this
situation 500 times at least in my life -- bam,
against the chest, going down. But no one likes
that in these situations."
Liverpool won their second friendly of the
summer, 3-2, after racing into a three-goal lead
in the first half, with Rafael Camacho, Sheyi Ojo
and Adam Lallana getting on the scoresheet.
Klopp then made 11 changes at half-time as
Danny Ward made way in goal for Karius, who
received a warm reception from the Liverpool
supporters in attendance.
But the shot-stopper's failure to hold onto
Norburn's free kick led to the hosts pulling one
back in the 72nd minute before poor play from
James Milner and Pedro Chirivella saw Amadou
Soukouna make it 3-2.
"No one likes that goal, but if we talk about the
second goal I think it was Millie's fault together
with Chirivella," Klopp said.
"Two brilliant footballers make this mistake,
which one was the bigger? I would say the
second one, but we don't talk about that."
On the match, Klopp continued: "Apart from the
goals [conceded] everything was pretty much
good.
"I liked the second half as well because although
we were not that ruthless, maybe, we created a
lot and played good football, came in the right
spaces -- last third not as good as first half but
it was pretty good.
"First half was obviously good. We had more
chances to score, but then we conceded the
goals, which is not nice. That's the situation --
3-2, nobody injured and everybody had 45
minutes [of] intensity That's what we wanted."


Hatuna kipa bhal tuna pazia
 
Sio haja recover ,mbona hamtaki kukubaliana na ukweli kuwa karius hatakiwi kuwa kipa, karius ni modo ,

Nitaendelea kutokubali kuwa karius anafaa kuidakia klabu kubwa kama liver, Toka siku ya kwanza anapewa nafas nilimkataa,

Na kuna sababu za liver kufika Fainal,

Lkn alijificha kwenye hicho kivuli watu hawakumuona ,mpaka mech ya fainal ndio eti watu wanakuja kugundua karius sio kipa

Nilishangaa sana , Nasemaje siku klopp atakapoamua kumuamin mignolet badala ya karius bas hatanunua kipa

Japo wengi hamumpend mignolet , lkn ukweli unabaki makosa ya karius na ya mignolet, ya karius yamezid kipimo,

Halafu Mignolet kaja kukataliwa na kocha kipind liver imepata balance ya beki , baada ya ujio wa VVD ambaye ni master kwa mipira ya juu, kupanga wenzake,

Na ndio maana kama ni mfuatiliaji mzuri utagundua toka aje VVD bas hata shoot on target kwa liver zilipungua, ndio maana kuna mech kibao Karius alikuwa ana maliza Bila kupigiwa on target, nyingine zinaisha kapigiwa on target 1-3, bas, akicheza kwa kuziotea bas shughuli imeisha,

Na ndio maana kuna mech kama ya tot anadaka mpira anautema kwenye hatari, wanyama anautia wavuni,lkn beki inamlinda Timu inapata matokeo ya kutofungwa.

Hii hali iliendelea hata UCL mech ya porto, man city ziliisha bila on target , mech za marudiano ni mech ya man city tu etihad ilikuwa mtihan kwake lkn shukran ziende kwa VVD NA WENZAKE, walimlinda na mech ikaisha salama,

Hofu ilikuja kuzuka mech ya pili kule roma, kumbuka ya kwanza haikuwa na on target za maana , aliendelea kulindwa na beki iliyo chini ya VVD, japo yy karius hakutaka kuitumia hiyo advantage Apambane na kina DEGEA kwa ubora,

Mech ya pili ya roma walikuwa wanapiga sana nje ya box, hapo baadh ya Mashabiki wakaanza kushtuka hapa Hamna kipa,

Mech ikaisha salama liver akasonga fainal, HII NDIO SAFARI YA KARIUS KUFIKA FAINAL.

Lakini siku zote za mwiz ni 40 , fainal kawazawadia magoli madrid

Japo BEKI YA LIVER ILICHEZA VIZURI KAMA SIKU ZOTE ILIVYOMLINDA, Kuanzia VVD,LOVLEN, ROBO, TAA wote walimdhibit CR7, NA genge lake.

Sasa ninaposikia eti KLOPP ANAMUAMINI TENA KARIUS adake msimu ujao nashangaa sana, MIMI SIO MWANA LIVER ILA ni moja ya klabu ninayoipenda na kuigmfatilia ,

Kwa hili alilofanya karius na Matus anayoporomoshewa Instagram, BASI KLOPP ataacha kibur chake na kurud sokon kutafuta kipa

Au ningemshauri amuamini Mignolet , ana udhaifu ila sio kama wa karius
ACT anaweza kutoa ushauri kwa UKAWA - hapa UKAWA wanaweza kuupokea ushauri bila suspicion yoyote.
lakini UKAWA wakipewa ushauri huo huo na CCM, hakuna namna inabidi UKAWA wachanganye na za kwao!!

kama umeilewa hii hypothesis, utaelewa mantiki ya swali langu hili hapa chini...

je, mkuu, wewe ni shabiki wa timu gani ili tujue kama katika ulichotushauri wana LFC kuna ulazima wa kuchanganya na za kwetu?
 
ACT anaweza kutoa ushauri kwa UKAWA - hapa UKAWA wanaweza kuupokea ushauri bila suspicion yoyote.
lakini UKAWA wakipewa ushauri huo huo na CCM, hakuna namna inabidi UKAWA wachanganye na za kwao!!

kama umeilewa hii hypothesis, utaelewa mantiki ya swali langu hili hapa chini...

je, mkuu, wewe ni shabiki wa timu gani ili tujue kama katika ulichotushauri wana LFC kuna ulazima wa kuchanganya na za kwetu?
Huyu ni Arsenal damu damu
 
Sio haja recover ,mbona hamtaki kukubaliana na ukweli kuwa karius hatakiwi kuwa kipa, karius ni modo ,

Nitaendelea kutokubali kuwa karius anafaa kuidakia klabu kubwa kama liver, Toka siku ya kwanza anapewa nafas nilimkataa,

Na kuna sababu za liver kufika Fainal,

Lkn alijificha kwenye hicho kivuli watu hawakumuona ,mpaka mech ya fainal ndio eti watu wanakuja kugundua karius sio kipa

Nilishangaa sana , Nasemaje siku klopp atakapoamua kumuamin mignolet badala ya karius bas hatanunua kipa

Japo wengi hamumpend mignolet , lkn ukweli unabaki makosa ya karius na ya mignolet, ya karius yamezid kipimo,

Halafu Mignolet kaja kukataliwa na kocha kipind liver imepata balance ya beki , baada ya ujio wa VVD ambaye ni master kwa mipira ya juu, kupanga wenzake,

Na ndio maana kama ni mfuatiliaji mzuri utagundua toka aje VVD bas hata shoot on target kwa liver zilipungua, ndio maana kuna mech kibao Karius alikuwa ana maliza Bila kupigiwa on target, nyingine zinaisha kapigiwa on target 1-3, bas, akicheza kwa kuziotea bas shughuli imeisha,

Na ndio maana kuna mech kama ya tot anadaka mpira anautema kwenye hatari, wanyama anautia wavuni,lkn beki inamlinda Timu inapata matokeo ya kutofungwa.

Hii hali iliendelea hata UCL mech ya porto, man city ziliisha bila on target , mech za marudiano ni mech ya man city tu etihad ilikuwa mtihan kwake lkn shukran ziende kwa VVD NA WENZAKE, walimlinda na mech ikaisha salama,

Hofu ilikuja kuzuka mech ya pili kule roma, kumbuka ya kwanza haikuwa na on target za maana , aliendelea kulindwa na beki iliyo chini ya VVD, japo yy karius hakutaka kuitumia hiyo advantage Apambane na kina DEGEA kwa ubora,

Mech ya pili ya roma walikuwa wanapiga sana nje ya box, hapo baadh ya Mashabiki wakaanza kushtuka hapa Hamna kipa,

Mech ikaisha salama liver akasonga fainal, HII NDIO SAFARI YA KARIUS KUFIKA FAINAL.

Lakini siku zote za mwiz ni 40 , fainal kawazawadia magoli madrid

Japo BEKI YA LIVER ILICHEZA VIZURI KAMA SIKU ZOTE ILIVYOMLINDA, Kuanzia VVD,LOVLEN, ROBO, TAA wote walimdhibit CR7, NA genge lake.

Sasa ninaposikia eti KLOPP ANAMUAMINI TENA KARIUS adake msimu ujao nashangaa sana, MIMI SIO MWANA LIVER ILA ni moja ya klabu ninayoipenda na kuigmfatilia ,

Kwa hili alilofanya karius na Matus anayoporomoshewa Instagram, BASI KLOPP ataacha kibur chake na kurud sokon kutafuta kipa

Au ningemshauri amuamini Mignolet , ana udhaifu ila sio kama wa karius


You're very very wrong man, especially kwenye suala nzima la art of goalkeeping.

katika suala defence, hasa kwa Gks, kuna two kinds of mistakes/errors, kuna "concetration errors/mistakes" then kuna "mistakes leading to goals", zinazokuwa counted hapa ni "mistakes leading to goals".

sipo hapa kumtetea Karius but kama unapenda kuifatilia LFC kama unavyosema, huwezi kusuggest kuwa Mignolet apewe nafasi. huyu ndiyo keeper anayeongoza kwa kufanya mistakes leading to goals tangu ajiunge na LFC. you dont give such kinda keeper a 2nd chance.

Mistakes za Karius ulizozihighlight ni zile za concentration tu, but katika games 29 alizochezea LFC, makosa aliyofanya yaliyosababisha magoal ni mawili (2), dhidi ya madrid. the problem kuhusu karius ni kwamba alifanya hizo mistakes kwenye biggest stage of club football, na ndo maana nikasema ameshindwa kurecover mpaka sasa na anazidi kupata pressure kila siku kwasababu fans wanashindwa kumuamini.

concetration errors can be coached (De gea/Manuel/Stegen walikuwa nayo hii problem and sadly Allison bado anayo hii problem. na ndo maana nikasema nilikuwa najiandaa kumpa hii nafasi ya pili, but it seems mentally bado hayupo tayari, pressure is highly getting to him. and you cant risk that.

and at this rate, him and Mignolet are not good enough for this Club, especially club inayopambana kubeba makombe kwasasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom