Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

'If Pirlo plays that ball...' - Ferdinand lauds outstanding Henderson display
Rio Ferdinand just had to talk about Jordan Henderson's performance v Sweden
Alan Shearer hails Sunderland-born Liverpool star Jordan Henderson as England reach World Cup semi-final

Shearer na Rio wanasema kama Henderson ataendelea kucheza kama alivyo cheza mechi hizi hasa ya jana na Swede basi England wanaweza chukua WC
Hawa nguli wameliona hili,lkn hapa tumekariri tu majina ya wachezaji!!
Thank God anazidi kuwakata kilimi kilimi,na bado!


Hiyo Ndiyo Sifa Ya Waingereza Kuwa-overrate Wachezaji Wao pamoja na Timu yao.

Kwani Jana baada ya Maguire Kufunga goli Wameshaanza Kuchapisha Papers eti "Maguire Ni Best Center Back Katika hii World Cup".
Lakini Cha ajabu Mpaka Leo Wameshindwa Kuuona Uwezo Wa Raheem Sterling na Wanamlaumu.
 
England Katika Makundi Kacheza na:
Tunisia → W
Panama → W
Belgium → L


England Knock Out Kacheza na:
Colombia → W
Sweden → W


Kwatimu Hizo Sishangai England Kwanini Yupo Hapo Alipo.

Kwabahati Nzuri Wakubwa Wanatoana wao Kwa Wao hatimae faida inamkuta Yeye England.
(Hata hivyo hili pia linanifurahisha na Mimi Kwani Mimi Ni Mpenzi Wa England Kindakindaki)

Spain katolewa na nani?
Urusi ni wazuri kwa Colombia?
Germany alishindwa mfunga nani kuingia playoffs?
South Korea ni wazuri kwa Sweden?
Kubali tu kuwa soka la dunia limebadirika na Uingereza sasa ni team nzuri
Hendo pale kati anafanya mambo makubwa sana angekuwa Casemiro kapiga zile pasi jana dunia hii ingesimama!
 
Hiyo Ndiyo Sifa Ya Waingereza Kuwa-overrate Wachezaji Wao pamoja na Timu yao.

Kwani Jana baada ya Maguire Kufunga goli Wameshaanza Kuchapisha Papers eti "Maguire Ni Best Center Back Katika hii World Cup".
Lakini Cha ajabu Mpaka Leo Wameshindwa Kuuona Uwezo Wa Raheem Sterling na Wanamlaumu.
Mkuu
Over-rated vipi team ipo semis na Croatia anapigwa easy tu!
Hiyo sio over-rated bali ni reality
Hawa England wanaenda kuwa mabingwa wa WC
 
Mkuu
Over-rated vipi team ipo semis na Croatia anapigwa easy tu!
Hiyo sio over-rated bali ni reality
Hawa England wanaenda kuwa mabingwa wa WC


Kuna Kitu Hapa itabidi Nikieke Sawa!

• Matokeo Ya Uwanjani Kwa Hili Kombe la Dunia tu Mimi Siyatabiri Kulingana na Ubora Wa Timu! Bali Ninayatabiri Kulingana na Timu itakayofanya Makosa Katika Mchezo Husika.
Kwahiyo Siongelei Kuwa England itafungwa au itashinda Kwa Croatia Kwani Atakaefanya Makosa Ndiye atakayefungwa Kama Kipa Wa Uruguay alivyofanya Makosa dhidi ya France, au Kocha Wa Spain alivyofanya Makosa Ya Kuchezesha Tik-Taka dhidi ya Makatonta Wa Kirusi.

Kwahiyo England anaweza Kushinda, Na Croatia anaweza Kushinda.

Na England Hawatoshinda Kwa Sababu Wana Hendo, Bali Watashinda Kwa Sababu ya Umoja wao na Makosa watakayoyafanya Croatia.

Chance ya England na Croatia Kushinda Ni 50/50
 
Mkuu
Over-rated vipi team ipo semis na Croatia anapigwa easy tu!
Hiyo sio over-rated bali ni reality
Hawa England wanaenda kuwa mabingwa wa WC


Mimi Binafsi Ni Mshabiki Wa Uiengereza na Natamani Uengereza ibebe Kombe Kuliko unavyotaka Wewe!

Lakini Njia Pekee ya England kubeba Kombe itabidi Wewe usiishangirie Kwani Utafiti wangu Unaonesha kuwa Timu yoyote unayosema itabeba ubingwa basi Huwa Haibebi.
 
IMG_20180708_192751.jpg
 
The most important signing to happen this season for me Is world class and proven goalkeeper.
 
Mimi Binafsi Ni Mshabiki Wa Uiengereza na Natamani Uengereza ibebe Kombe Kuliko unavyotaka Wewe!

Lakini Njia Pekee ya England kubeba Kombe itabidi Wewe usiishangirie Kwani Utafiti wangu Unaonesha kuwa Timu yoyote unayosema itabeba ubingwa basi Huwa Haibebi.
Hiyo aya ya mwisho "umeua"
 
Hiyo aya ya mwisho "umeua"
MMEANZA kuona AIBU sasa mnakimbilia kwenye maneno!
Hendo kawapa sana aibu
Lovren kawapa aibu
Sijui mwaka huu nani atakuwa scapegoat wenu!
Mnatafuta visababu vya kitoto sana ku justify kuwakejeri wachezaji wetu!
 
MMEANZA kuona AIBU sasa mnakimbilia kwenye maneno!
Hendo kawapa sana aibu
Lovren kawapa aibu
Sijui mwaka huu nani atakuwa scapegoat wenu!
Mnatafuta visababu vya kitoto sana ku justify kuwakejeri wachezaji wetu!
Hapana mkuu wote wawili bado hawajaniprove wrong.
Liverpool ni timu kubwa hawana hadhi ya kuichezea timu yetu.
BADO WANABAHATISHA BAHATISHA TU
 
Hapana mkuu wote wawili bado hawajaniprove wrong.
Liverpool ni timu kubwa hawana hadhi ya kuichezea timu yetu.
BADO WANABAHATISHA BAHATISHA TU
kuna watu huwa wanaitwa "nearly men". hawa ni wale watu ambao wanafurukuta sana katika kupata mafanikio maishani lakini inapofika hatua ya mwisho kabisa ya kuyafikia mafanikio hayo huwa wanashindwa. nadhani ni kutokana na mentality ya "tumejitahidi sana hata kufikia hatua hii" - which is not a winner's mentality!

it explains why tumefika fainali 3 ndani ya miaka 3 iliyopita bila kuambulia silverware yoyote. Klopp akiweza kuwa replace hawa "nearly men" mmoja baada ya mwengine, am sure ndoo zitaanza kurejea kiotani Anfield.
 
SG never played either WC kota final or WC semi final kwa hiyo kwenye ngazi ya Taifa Hendo ni zaidi ya SG
SG kacheza finals mbili za UCL kachukua moja kakosa moja,HENDO kacheza tayari moja na kakosa!
Many UCL finals will come,just a matter of time!!
Kwa hii team yetu nina imani kubwa Hendo atamfunika SG hapa Liverpool kama alivyo mfunika tayari WC
Time will tell!
time will tell...dont be surprised to see H akiwa bench warmer msimu ujao...all in all he still has the chance to compete akiwa na uzi wa the Kops...amecheza fainali 2 kubwa Uefa ndogo na Uefa kubwa bila kuchukua japo si yeye tu aliechangia tukose ushindi...
but for me anytym of the day il.choose SG.
YNWA
 
time will tell...dont be surprised to see H akiwa bench warmer msimu ujao...all in all he still has the chance to compete akiwa na uzi wa the Kops...amecheza fainali 2 kubwa Uefa ndogo na Uefa kubwa bila kuchukua japo si yeye tu aliechangia tukose ushindi...
but for me anytym of the day il.choose SG.
YNWA


Mkuu ilinibidi Nicheke tu na Nisireply Kwa Chochote Pale Our Greatest Captain Of All Time alipofananishwa au Hata Kunasibishwa Kuwa Ni Dhaifu Mbele Ya Hendo.

• Gerrard amebeba Europa 2001
• Gerrard amebeba UCL 2005 akiwa Kama Ni Captain aliyeoongoza Timu.
• Gerrard amebeba FA 2006 akiwa Kama Captain
• Amebeba Carling Cup (s) akiwa Captain.
• Gerrard ameiongoza Liverpool runner-up ya UCL 2007.

Halafu Leo Anafananishwa na Mtu ambaye Ni Zero Trophy tokea alipokabidhiwa Ucaptain!!!!

Heri Southgate Kajua Kama Huyu Jamaa Ni gundu ndiyomana Kampa Harry Kane Unahodha.
 
Mkuu ilinibidi Nicheke tu na Nisireply Kwa Chochote Pale Our Greatest Captain Of All Time alipofananishwa au Hata Kunasibishwa Kuwa Ni Dhaifu Mbele Ya Hendo.

• Gerrard amebeba Europa 2001
• Gerrard amebeba UCL 2005 akiwa Kama Ni Captain aliyeoongoza Timu.
• Gerrard amebeba FA 2006 akiwa Kama Captain
• Amebeba Carling Cup (s) akiwa Captain.
• Gerrard ameiongoza Liverpool runner-up ya UCL 2007.

Halafu Leo Anafananishwa na Mtu ambaye Ni Zero Trophy tokea alipokabidhiwa Ucaptain!!!!

Heri Southgate Kajua Kama Huyu Jamaa Ni gundu ndiyomana Kama Harry Kane Unahodha.
gundu analo haswaaaaa... King Gerrand sio level yake...
 
Hivi kweli kwa akili ya kawaida tu, umlinganishe Gerrard na mashudu kama Hendo, seriously?? Mimi hata saa hii still I would choose Gerrard over Hendo.

Captain wa kulalamikia marefa na faulo.
 
Mkuu ilinibidi Nicheke tu na Nisireply Kwa Chochote Pale Our Greatest Captain Of All Time alipofananishwa au Hata Kunasibishwa Kuwa Ni Dhaifu Mbele Ya Hendo.

• Gerrard amebeba Europa 2001
• Gerrard amebeba UCL 2005 akiwa Kama Ni Captain aliyeoongoza Timu.
• Gerrard amebeba FA 2006 akiwa Kama Captain
• Amebeba Carling Cup (s) akiwa Captain.
• Gerrard ameiongoza Liverpool runner-up ya UCL 2007.

Halafu Leo Anafananishwa na Mtu ambaye Ni Zero Trophy tokea alipokabidhiwa Ucaptain!!!!

Heri Southgate Kajua Kama Huyu Jamaa Ni gundu ndiyomana Kama Harry Kane Unahodha.
Hivi kweli kwa akili ya kawaida tu, umlinganishe Gerrard na mashudu kama Hendo, seriously?? Mimi hata saa hii still I would choose Gerrard over Hendo.

Captain wa kulalamikia marefa na faulo.
Malafyale mara nyingine huwa anajitoa ufahamu kweli kweli
 
Mkuu ilinibidi Nicheke tu na Nisireply Kwa Chochote Pale Our Greatest Captain Of All Time alipofananishwa au Hata Kunasibishwa Kuwa Ni Dhaifu Mbele Ya Hendo.

• Gerrard amebeba Europa 2001
• Gerrard amebeba UCL 2005 akiwa Kama Ni Captain aliyeoongoza Timu.
• Gerrard amebeba FA 2006 akiwa Kama Captain
• Amebeba Carling Cup (s) akiwa Captain.
• Gerrard ameiongoza Liverpool runner-up ya UCL 2007.

Halafu Leo Anafananishwa na Mtu ambaye Ni Zero Trophy tokea alipokabidhiwa Ucaptain!!!!

Heri Southgate Kajua Kama Huyu Jamaa Ni gundu ndiyomana Kama Harry Kane Unahodha.
Malafyale kishatia gundu england kubeba ubingwa nilikuwa napenda sana jamaa wabebe ndoo ila sijui alitamba sana hapa kuhusu madrid kumpiga final mkala kepu chuma tatu jamaa anagundu huyu.
 
Malafyale mara nyingine huwa anajitoa ufahamu kweli kweli
SG kaongoza England WC Brazil katoka round ya kwanza,mbona hii hamuisemi?
SG kafungwa na Croatia 2007 kashindwa hata ku qualify Yuro ya 2008 hii mpo kimywa
Kombe la maana kabeba SG ni UCL tu 2005
Mm sihesabu makombe trashes kama Yuropa na FA
Nahesabu tu kuwa HENDO kakosa UCL mwaka huu
Lkn kwa kikosi chetu sasa Hendo atabeba EPL na atabeba UCL
Muda ni kitu muhimu sana!!
 
Malafyale kishatia gundu england kubeba ubingwa nilikuwa napenda sana jamaa wabebe ndoo ila sijui alitamba sana hapa kuhusu madrid kumpiga final mkala kepu chuma tatu jamaa anagundu huyu.
UCL kucheza tu final mkakaa kimywa
We fail short because of Karius' malaise
We will be back stronger than before
Hendo all the way to another UCL final
 
Hivi kweli kwa akili ya kawaida tu, umlinganishe Gerrard na mashudu kama Hendo, seriously?? Mimi hata saa hii still I would choose Gerrard over Hendo.

Captain wa kulalamikia marefa na faulo.
Hendo bado anacheza
Hendo ana final moja ya UCL aliyo shindwa
SG katupa UCL moja kashindwa moja
Unatabiri kuwa Hendo hatatupa UCL ?
Wewe ni mtabiri?
Hendo anachukua WC kombe ambalo SG hajawahi cheza hata nusu final
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom