Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Pep Lijnders tayari amesharudi Katika Bench la Ufundi Kuungana na Jürgen Klopp, Kuhusu Zeljko Buvac yeye bado hali tete na hakuna dalili ya Kurudi tena.
Loser at final ! Yours at which stage !? Group stage ?Losers![]()
Losers![]()
Loser at final ! Yours at which stage !? Group stage ?
Sevilla waliona kwamba wafanye mambo mawili ; la kwanza ni kumzuia Man U asitie mkosi kwa kubahatisha hata japo goli la kubahatisha kwenye uwanja wao. La pili waje wamfurumushie Man U pale pale OT. Na mna bahati maana huyo muarabu Ben Yedder alikuwa aondoke na mpira sema alidhani yuko Offside kwenye chance flani hivi.
Ilikuwa iwe Ben Yedder 3 Man U 1
Ladies and gentlemen, this is Liverpool fan talking this shit. Liverpool you are just west brome with history.I hope haitotokezea pengine popote Katika Sayari Hii Kuona Watu Wanajivunia Mafanikio Ya Wengine except Manure Fanboys.
Keep Moving! Endeleeni Kusherehekea Mafanikio Ya Real Ya Kubeba Champion League may be munashare Trophy.
, hata angekua ajax ndio kakupapasa bado ningeshangilia tu.Unafurahia 'harusi ya mbwa' !?
As long as itanipa furaha, sina tatizo nayoUnafurahia 'harusi ya mbwa' !?
Fundo afunge mwingine, ila 'mauno' ukatike wewe huku pembeni !

Huyo beki Lovren si bora hata Kevin Yondan
Mungu anakuona mkuu,wakati kante na mahrez wanasajiliwa hapo leicester wewe ulikuwa unawafahamu....milner na hendo walikuwa bora kuliko huyo kante na mahrez
Hivi mkuu kwa mfano ile fainali dhidi ya madrid liver wangeshinda ungesemaje?bahati au kina milner wangekuwa bora tena muda huo?maana hao unaowadharau wewe ndio walioifikisha timu fainali.........katika ubora wao liver ya XABİ ALONSO na STEVEN GERRALD lakini EPL waliishia kuliona kwa majirani tu au nao walikuwa wabovu? Haya hao kina kante na drinkwater wamekosa hata big4 msimu huu ina maana ni wabovu?MATİC,POGBA,HERRERA hawajabeba chochote msimu huu je hawa nao wabovu?DEMBELE,DİER,WANYAMA,ERRİCKSEN haya ni magarasa???????????sometime bahati ipo kwenye soka kataa kubali
#FİKİRİ KWANZA
....kojoa basii !As long as itanipa furaha, sina tatizo nayo![]()
Kama mlivokojolewa na Madrid....kojoa basii !

Hii habari nilipoiona nilifikiri sana. Ila nikajipa moyo kuwa kwa kuwa hiki ni kipindi cha usajili basi tutasikia mengi. Hizi zitakuwa ni roumors tu.Jinsi Habari Za Kumsaini Xherdan Shaqiri zinavyokuwa Viral kwakweli Zinanipa Ukakasi! Hivi Shaqiri Ni Mtu Sahihi tunayemuhitaji?