Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Great man Michael Edward
Better than Ian Ayre Heshima kwako


Mkuu Huyu Mjinga Ian Ayre na Yule Mpumbavu Mwenziwe Damien Comolli aliyetuletea Rundo la Magarasa Kama vile Andy Carroll , Jordan Henderson , Charlie Adam, Stewart Downing , Doni , José Enrique , Sebastián Coates and Craig Bellamy Ndani Ya Liverpool, sitaki Hata Kuwasikia Wakitajwa Majina Yao.

Hawa Jamaa Walikuwa Wapo Njiani Kutupeleka Championship!
Hawa Wametuharibia Timu Yetu Kwa 100%.

Sasa Angalau Kaja Huyu Michael Edward ndiyo anaturudisha Katika Status halisi Ya Liverpool.
 
NABIL FEKIR HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA

BACK TO ELITE STATUS
Back to elite status with league1 especially FRANCE players hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha bwaaaaaaaaahhhhhhhhh bakayoko,lacazette,pogba,e.t.c MABİSHOO HAO HAWANA MPANGO

UNAİJUA EPL WEWE?????
 
Hivi Yule Superstar Wa Chelsea Eden Hazard Amenunuliwa Kutoka Ligi Gani? Labda Kwanza tuanzie hapa.
Mwaka gani kanunuliwa?na ni mchezaji wa timu gani ya taifa huyo?all in all 90% ya wachezaji wa ufaransa na ile ligi ni hovyo kabisa kwa miaka ya hivi karibuni...kwa ufupi ile ligi ni hovyo kabisa kucompare na na ligi nyingine kubwa za ulaya so kumjudge mchezaji kwa kigezo cha kuperfom ligi ile sio sahihi kabisaaaaaaa NEYMER JR mwenyewe kakiri kuingia chaka na anataka kukimbia kule....


MUDA UTASEMA
 
Mwaka gani kanunuliwa?na ni mchezaji wa timu gani ya taifa huyo?all in all 90% ya wachezaji wa ufaransa na ile ligi ni hovyo kabisa kwa miaka ya hivi karibuni...kwa ufupi ile ligi ni hovyo kabisa kucompare na na ligi nyingine kubwa za ulaya so kumjudge mchezaji kwa kigezo cha kuperfom ligi ile sio sahihi kabisaaaaaaa NEYMER JR mwenyewe kakiri kuingia chaka na anataka kukimbia kule....


MUDA UTASEMA


Suarez alitokea ligi gani kuja Liverpool? Salah alitokea ligi gani kwenda Chelsea?

Tulimnoa Torres, tukaja Suarez, tukaja Coutinho, tukaja Salah, tukaja Mane, tukaja Firmino...............Malizia mwenyewe
 
Suarez alitokea ligi gani kuja Liverpool? Salah alitokea ligi gani kwenda Chelsea?

Tulimnoa Torres, tukaja Suarez, tukaja Coutinho, tukaja Salah, tukaja Mane, tukaja Firmino...............Malizia mwenyewe
Hao uliowataja wametokea league 1 ?au raia wa France?
Soma vizuri comment yangu kisha jibu......labda hujui hao wachezaji wako walipotoka ngoja nikufahamishe kidogo mkuu,

Torres alitokea atletico madrid laliga spain,mane mumemtoa hapo southampton epl england,suarez vampire alitokea eradivise holland,salah mumemtoa as roma seria a italy na coutinho ni seria a milan italy pia

Katika wote uliowataja hakuna hata mmoja mliomsajili toka france.....
 
Mwaka gani kanunuliwa?na ni mchezaji wa timu gani ya taifa huyo?all in all 90% ya wachezaji wa ufaransa na ile ligi ni hovyo kabisa kwa miaka ya hivi karibuni...kwa ufupi ile ligi ni hovyo kabisa kucompare na na ligi nyingine kubwa za ulaya so kumjudge mchezaji kwa kigezo cha kuperfom ligi ile sio sahihi kabisaaaaaaa NEYMER JR mwenyewe kakiri kuingia chaka na anataka kukimbia kule....


MUDA UTASEMA
NGOLO KANTE ametokea wapi
 
Suarez alitokea ligi gani kuja Liverpool? Salah alitokea ligi gani kwenda Chelsea?

Tulimnoa Torres, tukaja Suarez, tukaja Coutinho, tukaja Salah, tukaja Mane, tukaja Firmino...............Malizia mwenyewe
ndo umeandika nn hapo?!?
 
NGOLO KANTE ametokea wapi
Soma vizuri msingi wa comment yangu nimesema ni 90% na hata hivyo hakuna sehemu niliyosema hao kina fekir na fabinho hawatashine ila nimetoa angalizo ni kamali kama ya 3mzuka tu......kutokana na status ya ligi ile ukilinganisha na ushindani wa huku.....mchezaji anayetoka epl kwenda league1 ni 99% au 100% kushine ila kinyume chake ni majanga kabisa.....rejea super mario,chamakh,lacazette,depay,n.k
 
Iiverpool kwa sasa ni mwendo wa pongezi kwa kiumbe hiki
Screenshot_2018-06-08-02-02-18.jpg
 
Soma vizuri msingi wa comment yangu nimesema ni 90% na hata hivyo hakuna sehemu niliyosema hao kina fekir na fabinho hawatashine ila nimetoa angalizo ni kamali kama ya 3mzuka tu......kutokana na status ya ligi ile ukilinganisha na ushindani wa huku.....mchezaji anayetoka epl kwenda league1 ni 99% au 100% kushine ila kinyume chake ni majanga kabisa.....rejea super mario,chamakh,lacazette,depay,n.k
Hata ukitokea Ligi ya Azerbaijan kama Class is permanent hakuna kitakachobadilika Acha kujidanganya
Form is tempo
Class is permanent
Ligi inaweza kuwa mbovu haina ushindani lakini ndani yake ikawa na wachezaji bora na wenye Quality ya halina ya juu tuache mpira wa kukalili
 
Hao uliowataja wametokea league 1 ?au raia wa France?
Soma vizuri comment yangu kisha jibu......labda hujui hao wachezaji wako walipotoka ngoja nikufahamishe kidogo mkuu,

Torres alitokea atletico madrid laliga spain,mane mumemtoa hapo southampton epl england,suarez vampire alitokea eradivise holland,salah mumemtoa as roma seria a italy na coutinho ni seria a milan italy pia

Katika wote uliowataja hakuna hata mmoja mliomsajili toka france.....


Alaa, Fekir ni raia wa wapi?

Eredivisie ina ushindani kuliko Ligue 1?

Vipi kuhusu Antony Martial?
 
Suarez alitokea ligi gani kuja Liverpool? Salah alitokea ligi gani kwenda Chelsea?

Tulimnoa Torres, tukaja Suarez, tukaja Coutinho, tukaja Salah, tukaja Mane, tukaja Firmino...............Malizia mwenyewe
Sad, hakuna hata mmoja aliewapa kombe la maana
 
Mwaka gani kanunuliwa?na ni mchezaji wa timu gani ya taifa huyo?all in all 90% ya wachezaji wa ufaransa na ile ligi ni hovyo kabisa kwa miaka ya hivi karibuni...kwa ufupi ile ligi ni hovyo kabisa kucompare na na ligi nyingine kubwa za ulaya so kumjudge mchezaji kwa kigezo cha kuperfom ligi ile sio sahihi kabisaaaaaaa NEYMER JR mwenyewe kakiri kuingia chaka na anataka kukimbia kule....


MUDA UTASEMA


Kwavile umesema Kuwa Ni 90% tu ndiyo Wanakuwa Ovyo! Basi Sina Comment yoyote Juu Ya Haya uliyoyaandika Coz Hizo 10% zilizobakia tutadepend on it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom