Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sio kupossess, sema Liver walianza mpira presha ikiwa juu sana kutokana na media na mashabiki wao, walitiwa chachu kubwa kwamba wanaweza kufanya lolote kwa Madrid, nilijua hawawezi kwenda vile mpaka mwisho
 
Hata nami ndicho nilichokiona kwa sababu hata Madrid ilikuwa inapanda kushambulia kwa kiasi kidogo sana ila baada ya Salah kutoka ndipo kazi ilipoanzia kwa Madrid.
Zidane pia ni kocha bora, amewasoma liver ndani ya dk 30 za mwanzo huwa wana press sana. Hivyo hata Mo Salah angekuwapo, tempo ingeshuka tu baada ya hapo. Na liver ukiwazuia dk 30 au 40 za mwanzo, pumzi hukata.
 
Zidane pia ni kocha bora, amewasoma liver ndani ya dk 30 za mwanzo huwa wana press sana. Hivyo hata Mo Salah angekuwapo, tempo ingeshuka tu baada ya hapo. Na liver ukiwazuia dk 30 au 40 za mwanzo, pumzi hukata.
Nakubaliana na wewe kabisa na ndio maana alimwanzisha isco (ili kuneutralize pressure) badala ya bale
 
Kwani namba mbili nimeandika nini!? Usikurupuke na kujiongelesha kama unataka bwana..
Wengine chuki tu zimewajaa achana nao mkuu. Timu imefika hadi fainali then wanaibeza wana akili sawasawa kweli hao,
Kwani Madrid dakika 20 za mwanzo kuna mchezo gani kacheza dhidi ya kuja kusaidia kulinda.
 
Mchezo wa Jana Ramos ndio ali amua matokeo baada ya kutaka kuchomoka na kwapa kama si bega la Salah, hapo ndipo mambo yalipo anza kubadilika...,
 

TV yako ina kilema?
Kabla ya Salah Liverpool was better side uwanjan!Baada ya Salah kuumia ndiyo Madrid wakafufuka!
Mechi imeamriwa na howlers mbili za Karius na si vinginevyo!
Kama unatafuta game ya kuisifia Madrid tafuta mechi ingine sio hii
 
Hicho ulichoongea ndicho nilichokikumbuka jana mkuu pindi Salah anatoka na nilikutumia kama sehemu ya reference kwenye umati. Sina kumbukumbu kama kuna mechi Liver alishinda bila ya Salah kucheza au kuambulia droo baada ya Salah kutolewa (hii siongelei mechi za Liver dhidi ya Stock City au hizi zilizokuwa karibu na mechi za robo na nusu fainali za UCL).
 
Sio kupossess, sema Liver walianza mpira presha ikiwa juu sana kutokana na media na mashabiki wao, walitiwa chachu kubwa kwamba wanaweza kufanya lolote kwa Madrid, nilijua hawawezi kwenda vile mpaka mwisho
Liverpool uwezo walikuwa nao na walicheza vizuri na kufanikiwa kuwabana Madrid dk 20 na ndio yule muhuni Ramos alitambua hilo na kwa makusudi alimuumiza salah. Hatimaye marcelo akawa free na kama mfuatiliaji wa Madrid marcelo ndio source ya magoli ya Madrid, lkn dk 20 za mwanzo kuanzia casamiro, modric, kroos, Ronaldo hawakuonekana kabisa.
 
Sio kupossess, sema Liver walianza mpira presha ikiwa juu sana kutokana na media na mashabiki wao, walitiwa chachu kubwa kwamba wanaweza kufanya lolote kwa Madrid, nilijua hawawezi kwenda vile mpaka mwisho
Mkuu ukiweka chuki pembeni, kwani Liver kuanza mpira kwa presha ya juu ilianzia jana kwa Madrid??
 
Ticha: nani kafunga?
Wanafunzi: Benzemaa
Ticha: aliye assist?
Wanafunzi: kipaaaaaa
Ticha: nani kafunga?
Wanafunzi: Baleeeee
Ticha: aliye assist?
Wanafunzi:kipaaaaa
Ticha:mani of the mechi?
Wanafunzi: Ramosiiiiiii
Ticha: mmetishaaa
Wanafunzi: kama kipaaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kiukweli karius tunaojua mpira kwa jicho la tatu tulikuwa tunajua ipo siku atawaumbua

Game karibu zote anasaidiwa na beki, game nying timu pinzan walikuwa wanatoka bila shoot on target, halafu mashabik wa liver wanamsifia Karius,

Nilisema humu kwaninavyowajua wachezaj wa madrid wanaopiga nje ya box ni weng, hivo nilijua ataumbuka tu,

Game ya pil ya roma alianza kuumbuka,

Game nying toka aje vvd huyu karius hajakutana na mishe mishe, mpaka ya Roma, game ya man city, hawakupiga on target, game ya etihad ukuta ulimlinda, Tunaomjua karius kwa jicho la tatu, tuliposikia anacheza na madrid, tulijua shughuli imeisha, maana ina watu ambao nje ya box wanaachia machine, kuna Kroos, cr7,marcelo, bale, casemiro

Yale magoli mignolet hafungwi, labda gol la pili

Huwez kubeba kombe na kipa kama Karius,

Ni dhambi kubwa
 
TV yako ina kilema?
Kabla ya Salah Liverpool was better side uwanjan!Baada ya Salah kuumia ndiyo Madrid wakafufuka!
Mechi imeamriwa na howlers mbili za Karius na si vinginevyo!
Kama unatafuta game ya kuisifia Madrid tafuta mechi ingine sio hii


Throw Karius under the bus or whatever, lakini ninavyojua mimi mistake zimefanyika wakati presha ya game ilikuwa juu. Kubali au kataa, Real Madrid were better side than Liverpool, that's why they won the game
 
Hata nami ndicho nilichokiona kwa sababu hata Madrid ilikuwa inapanda kushambulia kwa kiasi kidogo sana ila baada ya Salah kutoka ndipo kazi ilipoanzia kwa Madrid.


Mohammed Salah asipokuwepo uwanjani anaachia pengo kubwa sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…