Sio rahisi sana,ingawa inawezekana hii ni fainaliHii mechi kuna mtu lazima ale red card
kabisa tena Madrid maana hawana nidhamuHii mechi kuna mtu lazima ale red card
Mshindi anapatikana kwa penatiPoleni liverpool ila madrid anashinda 1-0 tukutane baada ya mechi
tulia uone kaziMpaka Sasa Hakuna Wa Kuniaminisha Kuwa Tutafungwa Kwa Sababu Katoka Salah!
Hata Hivyo Sub ya Emre Can ninaikubali Zaidi Kuliko Ya Adam Lallana
VAR kwenye mechi ya leo hakuna au....Upuuzi sana huu!
Hiyo ndiyo game plan yao ilikuwa kumtoa Salah mapema!
Daaah inauma sana!