Usijali wanazi wa EPL hatutawaangushathe blue's fan hapaaaaa...
lakini nataka ndoo itue uingereza..
nawaaminia wanangu liver fanyeni kweli..
Nimekuelewa.Steven Gerrard Wakati Anajikwaa Mimi Nilikuwa Mshabiki Wa Liverpool Lakini Sikuwa Member Wa JF Kwani Kwa Wakati Huo Niliamini Kuwa #JF Ni Forum ya Siasa tu Wakati Mimi sio Partisan Wa Politics. Lakini Kwasasa Mimi Nipo JF mostly Kwa Sports tu.
Kwahiyo Sikuwa Sionekani Kwasababu Timu ilikuwa inafanya Vibaya! Bali nilikuwa Sionekani Kwasababu Sikuwa JF Member.
Halafu Liverpool Hile Ya Gerrard aliyoanguka ilifanya Vizuri Zaidi Kwenye PL kuliko hii ya Sasa iliyogombania Top Four mpaka Sekunde Ya Mwisho.
Na Kujiunga JF hivi Karibuni Haimaanishi Kuwa Sikuwa Mshabiki Mkongwe Wa Liverpool! Mimi Nimejiunga Na JF nikiwa Nimeshaipenda Liverpool 2 Decades.
Hahaa G.Bale form aliyonayo kwasasa sio ya kubezaRumours getting stronger that @GarethBale11 will start for Real Madrid tonight, with Benzema on bench. If so, believe that's good news for Liverpool - Real have looked worse team when Ronaldo plays alongside Bale at times this season. Questions linger about their relationship....
Salah tayari keshafuturu huko
Hahahah ni hatariNa Kwasisi Tulio Na Experience Ya Kufunga Huwa Tunakuwa Na Nguvu Balaa Muda Huu Baada Ya Kufuturu.
Tena sisi Masikini Tunaokula Mihogo Tuna Nguvu Kiasi Hichi, Je Yeye Tajiri anaekula Msosi Wa Maana Anakuaje? 😀😀😀
Na hatimae bado dakika 20 tuHatimae leo imewadia mkuu.