Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Mkuu nipo Boko hapa Basihaya kwenye mscreen mkubwa, sina hofu na kutwaa ubingwa leo, Firmino atatuanzishia nadhaniNdugu zangu majogoo...
Ndugu yenu mimi ninasumbuliwa na kaugonjwa ka presha...
Sitaweza kuuangalia huu mtanange live...
Acha nipambane na konyagi kwa wingi...
Naamini Mungu yuko upande wetu...
Inshaallah...
Bwana asifiwe sana...
Ahsanteni kwa kunisoma....
Naandika nikiwa kaunta ya juu hapa Bunju B.... mpira ukianza ntazima simu na kwenda kulala...
Naahidi tutashangilia pamoja...
Amina!

Mkuu wangu... Basihaya chemba gani? Bar mpya au Fyatanga?Mkuu nipo Boko hapa Basihaya kwenye mscreen mkubwa, sina hofu na kutwaa ubingwa leo, Firmino atatuanzishia nadhani![]()
Hahahaaaa JF raha sanaKwa Atmosphere hii Real Lazima Akakodi Washabiki Kwani Na Kutawala Kwake Kote CL Basi Anashindwa Kupata Washabiki Wengi Zaidi Ya Liverpool!!
Hapana Ubishi Liverpool ndiyo Timu Ya Watu Wa Ulaya.....
View attachment 786990