Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

GettyImages-962712644.jpg
 
Ndugu zangu majogoo...

Ndugu yenu mimi ninasumbuliwa na kaugonjwa ka presha...

Sitaweza kuuangalia huu mtanange live...

Acha nipambane na konyagi kwa wingi...

Naamini Mungu yuko upande wetu...

Inshaallah...

Bwana asifiwe sana...

Ahsanteni kwa kunisoma....

Naandika nikiwa kaunta ya juu hapa Bunju B.... mpira ukianza ntazima simu na kwenda kulala...

Naahidi tutashangilia pamoja...

Amina!
Mkuu nipo Boko hapa Basihaya kwenye mscreen mkubwa, sina hofu na kutwaa ubingwa leo, Firmino atatuanzishia nadhani
 
Mimi Mwenzenu Dah! Naona Hypertension inanisogelea Kwa Kasi.... Nina Sababu Mbili Kuu Ambazo Zinanifanya Nisiwe Sawa Kwa Game Ya Leo:

1) Klopp: Kwa Kweli Klopp Hana Rekodi Nzuri Ya Kushinda Fainali Jambo Ambalo Ninachelea Huu Mzimu Wa Fainali Kuja Ukamuandama.

2) Lovren: Kwa Kweli Dejan Lovren Leo Ndiye Atakaeamua Atupe Kombe au Asitupe! Akiwa Katika Form Nzuri Basi Tutabeba Kombe, Lakini Akiwa Katika Hali Yake Ya Master of Error Basi Huenda Akatucost Kwani Huyu Jamaa Ni Very Inconsistent.


Pamoja Na Hayo Bado Nina Matumaini Ya Kubeba Kombe.

"Allez, Allez, Allez"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom