Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Taarifa mbaya hii.


"Na Ndiyomana Huwa Ninasema Mara nyingi Kuwa Ujio Wa Keita Haitaleta Mabadiliko Kama Hatanunuliwa na Mido mwengine! Kwani Hapo Aliyekuwa so injary Mara Kwa Mara Ni Milly na Gini tu!
Lakini Hendo, AOC na Lallana hawa wana kawaida ya injury za muda mrefu.

Tutakuja Jikutia tumebakisha Mido ya Gini-Keita-Milly.
Na Kama Kawa Keita Ni Mr. Red Card Kwahiyo tutaishia Kujikuta TAA-GINI-MILLY

Hapo Ni Lazima Aongezwe Midfielder mwengine japo mmoja huku tukiomba CAN asaini mkataba ili kuongeza depth! Kama CAN hatosaini Mkataba basi Waongezwe Midfielders Wawili.

Na iwapo tutampata Joginho na Fekir basi Kwa Kombi Hii JOGINHO - KEITA - FKIR no one will dare to touch us...
 
Countdown..........11 days to go!

Hello hello!!

Fans wenzangu mliomo humu, am really excited kadri tunavyoikaribia the D-day .....26 May (UCL Final LFC vs R Madrid).

So mimi nina wazo kama mtaona linafaa....

Natambua inawezekana wengi wetu wana uwezo wa kukaa ma-home kwao au kwenye joints nyingine na kuangalia hii game, but kwa ajili ya kuienzi timu yetu mimi napendekeza tujumuike kama familia ya LFC kama ifuatavyo:

1. fans kwenye kila mkoa tufanye utaratibu wa kupata open space/yard moja kubwa hivi
2. tufanye mpango wa kupata big screen(s), (z)isimikwe kwenye hiyo open space
3. fans tujumuike hapo kwa wingi tukiwa na jerseys, scarves, flags za klabu yetu
4. yaani kuwe na kimuhemuhe cha kufa mtu. tu recreate atmosphere itakayoshabihiana na ile ya Anfield

Kuna utamu wake katika kushangilia pamoja - au kinyume chake!

If it sounds appealing to all of us, tupendekeze coordinator(s) kwa ajili ya maandalizi (costs, etc). mimi naanza kwa kumpendekeza maestro King Ngwaba kama chief coordinator.

Angalizo: unless mtu binafsi atapenda mwenyewe, hakutakuwa na utambulisho wa washiriki - iwe kwa majina halisi au hizi ID's zetu humu JF.
 
Countdown..........11 days to go!

Hello hello!!

Fans wenzangu mliomo humu, am really excited kadri tunavyoikaribia the D-day .....26 May (UCL Final LFC vs R Madrid).

So mimi nina wazo kama mtaona linafaa....

Natambua inawezekana wengi wetu wana uwezo wa kukaa ma-home kwao au kwenye joints nyingine na kuangalia hii game, but kwa ajili ya kuienzi timu yetu mimi napendekeza tujumuike kama familia ya LFC kama ifuatavyo:

1. fans kwenye kila mkoa tufanye utaratibu wa kupata open space/yard moja kubwa hivi
2. tufanye mpango wa kupata big screen(s), (z)isimikwe kwenye hiyo open space
3. fans tujumuike hapo kwa wingi tukiwa na jerseys, scarves, flags za klabu yetu
4. yaani kuwe na kimuhemuhe cha kufa mtu. tu recreate atmosphere itakayoshabihiana na ile ya Anfield

Kuna utamu wake katika kushangilia pamoja - au kinyume chake!

If it sounds appealing to all of us, tupendekeze coordinator(s) kwa ajili ya maandalizi (costs, etc). mimi naanza kwa kumpendekeza maestro King Ngwaba kama chief coordinator.

Angalizo: unless mtu binafsi atapenda mwenyewe, hakutakuwa na utambulisho wa washiriki - iwe kwa majina halisi au hizi ID's zetu humu JF.
Naunga mkono hoja
 
Countdown..........11 days to go!

Hello hello!!

Fans wenzangu mliomo humu, am really excited kadri tunavyoikaribia the D-day .....26 May (UCL Final LFC vs R Madrid).

So mimi nina wazo kama mtaona linafaa....

Natambua inawezekana wengi wetu wana uwezo wa kukaa ma-home kwao au kwenye joints nyingine na kuangalia hii game, but kwa ajili ya kuienzi timu yetu mimi napendekeza tujumuike kama familia ya LFC kama ifuatavyo:

1. fans kwenye kila mkoa tufanye utaratibu wa kupata open space/yard moja kubwa hivi
2. tufanye mpango wa kupata big screen(s), (z)isimikwe kwenye hiyo open space
3. fans tujumuike hapo kwa wingi tukiwa na jerseys, scarves, flags za klabu yetu
4. yaani kuwe na kimuhemuhe cha kufa mtu. tu recreate atmosphere itakayoshabihiana na ile ya Anfield

Kuna utamu wake katika kushangilia pamoja - au kinyume chake!

If it sounds appealing to all of us, tupendekeze coordinator(s) kwa ajili ya maandalizi (costs, etc). mimi naanza kwa kumpendekeza maestro King Ngwaba kama chief coordinator.

Angalizo: unless mtu binafsi atapenda mwenyewe, hakutakuwa na utambulisho wa washiriki - iwe kwa majina halisi au hizi ID's zetu humu JF.


Wazo Zuri lakini Kwasasa Nipo Chuoni (University) somewhere so, kuoganaizi na fellow Fans inakuwa Shida Cuz Hata Roommates wezangu wote Ni Manures.
 
Kurudi shule ni jambo zuri sana!
2004 mm ndiyo namaliza Bachelor yangu
Kumbe wewe ni dogo sana lkn mchambuzi mzuri wa soka!


Kurudi shule ukiwa na mimvi changamoto sana, unaenda kukaa room moja na vitoto vilivyotoka kubalehe juzi.
Jamaa kwa makadirio ana miaka 35.


Kusoma chuo ukiwa Mzee kuna mawili.
Either uwe kichwa sana.
Ama uwe bogus sana.

Wazee wengi wanaorudi kusoma undergraduate shule zinawashindaga. Nawaonaga pale CoET.
Labda awe anasoma makozi ya Linguistic vyuo vya Open University na SAUT hapo sawa.
 
IMG_20180515_103537.jpg
 
Kurudi shule ukiwa na mimvi changamoto sana, unaenda kukaa room moja na vitoto vilivyotoka kubalehe juzi.
Jamaa kwa makadirio ana miaka 35.


Kusoma chuo ukiwa Mzee kuna mawili.
Either uwe kichwa sana.
Ama uwe bogus sana.

Wazee wengi wanaorudi kusoma undergraduate shule zinawashindaga. Nawaonaga pale CoET.
Labda awe anasoma makozi ya Linguistic vyuo vya Open University na SAUT hapo sawa.


Kizuri Zaidi Ambacho Kila Mtu Anakipenda Mimi Nilieacha Kusoma 2004 baada ya Kumaliza Advance Nikakimbilia Kazi (Nimejiajiri na Kuajiri) ninakula Bata Wakati Madogo Wanaokimbilia Chuo Wanatembea Na Bahasha interview 3 Kwa Siku Kutafuta Kazi Na Jua likiwawakia.

Mkuu Sometime Kuacha Shule Kuna Faida Yake! Mmoja Mimi Nimejijengea Msingi Mzuri Wa Maisha Baada Ya Kukataa Ushauri Wa Baba Yangu Mzazi Kwenda Chuo.

By the Way Huu Ni Uzi Wa Soka na Sio Wa Kuzungumzia Maisha.
Let me fvck off
 
Anorld ndani ya WC


Kachukua Nafasi Ya Joseph Gomez Baada Ya Kuumia. Hata Hivyo Ni Vigumu Kwa TAA kutusua Mbele ya Kyle Walker.

Wachezaji Wetu Gomez, Lallana, Clyne na Sturridge Wamekosa WC Kutokana Na injury Zinazowaandama ambazo Zimewakosesha Fitness.
 
Tunampiga Madrid
Tuna sajili watatu wapya wa maana
Keita anakuja
Emre Can the traitor anaondoka
Tunachukua EPL
What an achievement?
 
Tunampiga Madrid
Tuna sajili watatu wapya wa maana
Keita anakuja
Emre Can the traitor anaondoka
Tunachukua EPL
What an achievement?
Kuishi kwa ndoto ni muhimu kuna muda hutimia ndoto huwa kweli
 
Countdown..........11 days to go!

Hello hello!!

Fans wenzangu mliomo humu, am really excited kadri tunavyoikaribia the D-day .....26 May (UCL Final LFC vs R Madrid).

So mimi nina wazo kama mtaona linafaa....

Natambua inawezekana wengi wetu wana uwezo wa kukaa ma-home kwao au kwenye joints nyingine na kuangalia hii game, but kwa ajili ya kuienzi timu yetu mimi napendekeza tujumuike kama familia ya LFC kama ifuatavyo:

1. fans kwenye kila mkoa tufanye utaratibu wa kupata open space/yard moja kubwa hivi
2. tufanye mpango wa kupata big screen(s), (z)isimikwe kwenye hiyo open space
3. fans tujumuike hapo kwa wingi tukiwa na jerseys, scarves, flags za klabu yetu
4. yaani kuwe na kimuhemuhe cha kufa mtu. tu recreate atmosphere itakayoshabihiana na ile ya Anfield

Kuna utamu wake katika kushangilia pamoja - au kinyume chake!

If it sounds appealing to all of us, tupendekeze coordinator(s) kwa ajili ya maandalizi (costs, etc). mimi naanza kwa kumpendekeza maestro King Ngwaba kama chief coordinator.

Angalizo: unless mtu binafsi atapenda mwenyewe, hakutakuwa na utambulisho wa washiriki - iwe kwa majina halisi au hizi ID's zetu humu JF.
countdown....6.5 days to go.

come on you Reds!

ni naona kama watu mpo kwenye tension fulani vile. no need - we are Liverpool!!

let me cheer you up with some positive vibe.......................

"Full throttle football" imekuwa ni silaha ya maangamizi ya Liverpool dhidi ya wapinzani wake kwenye UCL msimu huu.
timu pinzani zinakuwa kama zimepigwa shock ya umeme. Daniele de Rossi wa Roma amenukuliwa akiielezea hali iliyowakumba walipopigwa 5-0 ndani ya dakika 33 pale Anfield kama kupata “blackout” fulani hivi!

kwenye UCL final R Madrid vs Liverpool, ili R Madrid ashinde game hiyo inaweza kumlazimu ku dominate game kwa walau dakika 60 na ndani ya muda huo atalazimika kufunga goli zisizopungua 4.

kwa nini nasema hivyo?

courtesy of David Prentice wa Liverpool Echo, angalia stats zifuatazo:

1. ndani ya dakika 90 za mchezo, Liverpool ina uwezo wa kufunga goli walau 3 kwa kutumia dakika 30 tu (zinaweza kuwa mwanzo au katikati ya mchezo)
- ilichukua dakika 33 kufunga goli 5 vs Roma
- ilichukua dakika 30 kufunga goli 3 vs Sevilla
- ilichukua dakika 19 kufunga goli 3 vs Man City
- ilichukua dakia 19 kufunga goli 3 vs Malibor
- ilichukua dakika 18 kufunga goli 3 vs Spartak Moscow
- ilichukua dakika 4 tu kufunga goli 2 vs Porto

2. kwenye mechi ya R Madrid vs Bayern Munich, kuna pundit mmoja ali comment "“I can give you at least 15 names out of the 22 who won’t be able to play at Liverpool’s tempo, including Toni Kroos. They won’t be able to cope.”
 
this video presents a very interesting simulation of the R Madrid vs Liverpool UCL final.

there you go....

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom