OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,316
wewe usifananishe liva ya 2005 na ya sasa.Kama mpira ndio hivyo mngekuwa mnawafunga kila siku,ujui mpira mkuu
Liverpool ya 2005 ilienda kuchukua uefa na ilikuwa mbovu hivyo hivyo na kwenye ligi ikashika nafasi ya 5,lakini uefa kachukua
Wewe Jamaa historia haisaidii chochote kwa sasa. Na wala hakuna anayefuatilia historia. Au unadhani itazuia msifungwe?Timu Ambazo ndiyo Pekee Katika Historia Ya [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] zilizobeba Kombe Hilo na Kukabidhiwa Kombe Original na sio Replica Ni:-
√ Real Madrid.
√ Ajax after their third consecutive title in 1973 .
√ Bayern Munich after their third consecutive title in 1976 .
√ Milan after their fifth title in
1994 .
√ Liverpool after their fifth title in
2005 .
Hao Walikabidhiwa Kombe Original Kabisa Kulingana Na Sheria Ya Zamani Ya UEFA Kuwa Timu inaposhinda Kombe hilo MARA 3 MFULULIZO kama alivyofanya Real, Bayern na Ajax au Timu iliyotimiza idadi Ya Kushinda MARA 5 Kombe Hilo Kama Walivyofanya AC Milan na Liverpool Basi Anakabidhiwa Kombe Hilo Original Na Kuwa Mali Yake.
Lakini Sheria Hii Kwa Sasa Haitumiki tena na Ndiyo Mana Barcelona aliposhinda Kwa Mara Ya 5 Mwaka 2015 hakupewa Kombe Hilo Original Kuwa La Kwake.
Kwahiyo Kama Hupewi Kombe Original timu inaposhindwa inapewa Nini?
Ni Kwamba Timu inaposhinda #CL Basi inakabidhiwa Kombe Original na Kukaa nalo Kwa Miezi 10 tu. Baadae Wanalirudisha na Kukabidhiwa Kombe ambalo Ni Replica/Copy mfano Wa Hilo Original ndiyo Timu inakwenda Kulihifadhi Klabuni Kwake, Kwani Hairuhusiwi tena Kwa Timu Yoyote Kubeba Kombe hilo na Kuwa Mali Yake Hata Kama itabeba Mara 10 mfululizo.
Pia Timu inaruhusiwa Kutengeneza Wenyewe Hiyo Replica ya Kombe lakini Ni Lazima ikidhi Masharti Ya UEFA ambayo Ni Lazima liwe na Muundo hulehule Wa Kombe Original, Pia lisifikie au Kuzidi Ukubwa Wa Kombe Original (Lifikie asilimia 80% tu ya Ukubwa Wa Kombe Original).
FINALY, LIVERPOOL ITABAKIA KUWA NI TIMU YA MWISHO KATIKA SAYARI HII KUBEBA KOMBE ORIGINAL LA [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] NA KUWA MALI YAKE
Bado Halijatick na Hakuna Chochote Kilichoelezwa Kutoka Kwa Wahusika Bali Kila Upande Umekanusha Taarifa Za Kufanya Makubaliano! Ni Rumours tu.....
Kama Kuna Mazungumzo Yoyote Yanaendelea basi Ni Undisclosed mpaka sasa.
Daa Kuna watu wana wivuuu duuuVery soon itabidi uEDIT, FVCK UCL. Tarehe 27 nitakukumbusha!!
Hahahahaha poleee Mkuu..eti ulitaka kuandka...nyauu kabsaaa weweHahaa nilitaka kuandika timu inayofeli dk za mwisho
Subiri kipigo madrid
Wewe hustahil hata kufunga kamba za Viatu vyanguHahaa nilitaka kuandika timu inayofeli dk za mwisho
Subiri kipigo madrid
So mess na b wako Ronaldo wamechukua nn mwaka huu?Balloon dio?.?? Mkuu apo naomba unishushe ..unadhani hiyo tuzo ni makalio nin kila mtu anaweza kuwa nayo! Kwa huu mpira wake wa msimu mmoja tu? Ameipa loserfool kombe gan? Ameisaidiaje national timu?
Kuwa siriyasi bro.!
Iniesta pamoja na kuipa ubingwa Mara mbili Hispania na kuipeleka barca mara kibao uefa, lakini sidhani kama alishawahi kuwa hata mchezaji bora wa ulaya. Sembuse uyo shehe!!?
Mlisema Porto..mkaja man city..mkahamia Roma now mpo refadridHakuna kitu mbona humu, sijaona wachezaji wa kuzuia presha Ya Madrid
.....hao hao ndo wamefika fainali ! Man U, Man C, Baca, Roma, Juve watakuwa kwenye Luninga wakiangalia !Hivi hawa Liverpool nnao waona wanakimbia kimbia humu bila mpango ndio wa kumfunga real madrid?
.....tafuta maji unywe basii !Oooh, kumbe ukicheza na Salah basi kazi ndio imeisha!! Sasa Casemiro atacheza nae hata akienda kunywa maji, atamsindikiza kisha kina Modric na Kros watachezesha timu!
Mechi imeshaisha!!
....kwani na wao wanagombea top four !?Brighton won't be easy!!