Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
kashengo,nadhani hukuelewa alichosema +255Huyu Suarez mchezaji mzuri ila anaharibu sana image ya Liverpool fc. Kwa incident ya jana naona ndio kaishajiondoa kwenye tuzo ya PFA. Af naona ameamua kutafuta sababu ya kuondoka Liverpool. Mbaya zaidi angemng'ata mchezaji mweusi af angekuwa wa Man United sijui habari leo zingekuwaje!
Last edited by a moderator: