punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Mkuu Full Moon, usikonde mara nyingine game hukataa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah washabiki wenzangu naona mkekimbia wote rumu hii tehteh! from 5 goals to 4 goals to 2 now 0 baada 0 timu hii sawa na kunywa Diet Coke, wao kazi yao pasi kufanya skills badala ya kupasua moja kwa moja na kujaribu wanapiga vihuti hata mwanangu anadaka.
Mkuu tupo ila duh....kuanzia ile game na Soton ikafuata Westham na leo loh....Pole yetu but You will never walk aloneDah washabiki wenzangu naona mkekimbia wote rumu hii tehteh! from 5 goals to 4 goals to 2 now 0 baada 0 timu hii sawa na kunywa Diet Coke, wao kazi yao pasi kufanya skills badala ya kupasua moja kwa moja na kujaribu wanapiga vihuti hata mwanangu anadaka.
habari ya wewe mkuu ndio mpira huo bana..
Mie sinatatizo na watu wa Arsenal. Wacha1 inakuwaje? Msiwawekee United Red Carpet na kuwapigia Makofi siku wataokuja kwenu msije kujipanga kama mbunge wa CCM kaja. Suarez naomba mungu auziliwe mbali anatujengea LiverpoolFc jina baya yani anatafuna mtu kama Vimpare! Bora tuwe na Striker kama Heskey wa leo ila tabia nzuri tabia ya Suarez ndio inachafua jina la timu na anawapa wenzake kuwa na tabia mbaya kwa kumtetea yeye ujinga wachukue hata Million 30 apotee zake nishamchoka mie yeye na Carra. Mie hata akifunga Goal sishangilii nashangilia timu yangu tu LFC 4 Life.
Huyu Suarez mchezaji mzuri ila anaharibu sana image ya Liverpool fc. Kwa incident ya jana naona ndio kaishajiondoa kwenye tuzo ya PFA. Af naona ameamua kutafuta sababu ya kuondoka Liverpool. Mbaya zaidi angemng'ata mchezaji mweusi af angekuwa wa Man United sijui habari leo zingekuwaje!