SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Mpira haupo hivyo mkuu,barca alifanywa nn
Alafu mnategemea Liverpool asifunge magoli Rome? Endeleeni kuota ndoto zenu
Kiev here we come
Mpira haupo hivyo mkuu,barca alifanywa nn
Hakuna cha ubora hapo mkuu,kwa ulaya timu ikiweza kuvuka round ya 16 na kusonga mbele mpaka semi final kama hivi hiyo timu ni bora hata kama itakuwa na wachezaji wasio na majina wala historia yoyote.Madrid anajivunia ukubwa wa majina ya wachezaji tu hali kadhalika barca ambaye sasa anatazama mpira kwenye TV.Kusema "Acha unafiki" ni lugha mbaya si lugha ya ushabiki wa kistaarabu
Pia sijawahi kuiunderestimate liverpool tangu niifahamu kwa miaka mingi kwasababu ni hatari kwa mashambulizi yasiyokoma
Nilichomaanisha ni kwamba Liverpool inaweza kwenda kukutana na timu iliyo na wachezaji bora zaidi yaani Real Madrid.
Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
Naomba ufafanuzi kidogo mkuu how is it disadvantage kwa Roma??
Hakuna tatizo Mkuu, kama tutajaliwa uzima basi kesho tutakutana tena hapa muda kama huu baada ya Real Madrid kucheza na Bayern munich.Mkuu kwanza sorry kwa kukuita mnafiki Ila Huyo Madrid unayemsema hata game1 ya semi final hajacheza na ushampa ushindi hii kisoka haijakaa sawa na kesho sio mbali mkuu sababu mm na wewe bado hatujui matokeo kwan mpira bado haujachezwa
Babu, kikosi cha aidha Bayern munich ama Real Madrid ni hatari sana....ni ngumu kuamini kuwa mtachukua kombe mbele yao.
Kingine mistake kubwa ya kocha wenu ipo kwenye Kumake substitution.
Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
Anyways mmejitahidi sana ila fainali hamtoki..[HASHTAG]#futurepost[/HASHTAG]....@wachawi na wanga.
Wataje usiogope..Fainali wanaweza kufika kabisa ila kubeba ndoo hawatabeba.
26 mkuuninachofurahi ni, tulianza na sare mbili group stage, mkasema hatuvuki, mara tupo rouund 16 mkasema group laini na fc porto hatumtoi, mara paap round 8 mkasema porto hajui, Man city ndo katutoa hivyo, haya majibu mnayajua wenyewe, mara ikawa mancity sio level ya madrid na bayern, anyway tukapewa roma aliyemtoa barca, kala tano mmeanza sijui second leg hatuchomoi, nawaambia TUKUTANE KYIEV 16/05/18
Kwan hapa washatoka?Anyways mmejitahidi sana ila fainali hamtoki..[HASHTAG]#futurepost[/HASHTAG]....@wachawi na wanga.
Kwa defense ya Madrid na kipa wao wala sina wasiwasi
Bayern kwa beki ya Hummels na Boateng ndio mdebwedo kabisa