Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu nafasi ya pili ni muhimu sana kama hujui. Man City anachukua PL na anaweza kuchukua FA. Mwanzo wa msimu ujso ile ngao ya hisani atacheza na nani??Jifikirishe hapa.
Man city hayumo fa, alishapigwa na wigan akaaga
 
Nimefungwa bao 9 na ww umepigwa bao 8 na inapoelekea zitafika 10+......think before you act....shame on urself...
Wewe umeshinda mechi ngapi kwa man cty na liver kashinda ngapi kwa man cty msimu wa 2017/18? Kwenye mashindano yote?
 
Wewe umeshinda mechi ngapi kwa man cty na liver kashinda ngapi kwa man cty msimu wa 2017/18? Kwenye mashindano yote?
Ndo maana nasema mashabiki wa liva mnashangilia kushinda mecni2...ndo mlichobakiza kushangilia coz hamuwezi kushangilia makombe....
 
Todays line up
1523097167722.jpg
 
Nimefungwa bao 9 na ww umepigwa bao 8 na inapoelekea zitafika 10+......think before you act....shame on urself...


In Case of Points per Match Amenifunga Goli 8 lakini Kachukua points 3 tu Kwangu! Lakini Mimi Nimemfunga Goli 7 na Nimechukua Points 6 kutoka Kwake.

Sasa Wewe Kakupiga Goli 9 na Kuchukua Zote Points 9 na Wewe Hukunusa Points na Magoli sijui Kama imepata angalau Mawili.

Sasa Mimi Niliyechukua Points 6 Kwa Man City na Yeye Akaambulia Points 3, Na Wewe Aliyechukua Points Zote 9 kutoka Kwako! Nani Wa Kujifikiria Kabla Ya Kuongea??
 
Moreno injury
Robertson injury
Matip injury
Mo Salah injury
Gomez injury
Lallana injury

Sijui Mkosi gani huu unaotaka kutusogelea....
 
Ila kwa mechi ya leo nadhani ingekuwa vizuri kama Firmino angecheza kulia kisha Ings akacheza katikati.
Solanke namuona kama urojo fulani hivi.
 
In Case of Points per Match Amenifunga Goli 8 lakini Kachukua points 3 tu Kwangu! Lakini Mimi Nimemfunga Goli 7 na Nimechukua Points 6 kutoka Kwake.

Sasa Wewe Kakupiga Goli 9 na Kuchukua Zote Points 9 na Wewe Hukunusa Points na Magoli sijui Kama imepata angalau Mawili.

Sasa Mimi Niliyechukua Points 6 Kwa Man City na Yeye Akaambulia Points 3, Na Wewe Aliyechukua Points Zote 9 kutoka Kwako! Nani Wa Kujifikiria Kabla Ya Kuongea??
kumbe hadi uefa kuna pointi 3!! Mi nilifikir zipo makundi na kwenye ligi2...hata kwenye fainali yoyote mi cjawahi sikia pointi zozote zinagawanwa....au ligi siku hizi timu inacheza more than two games in a season....!!
Kama ni hivyo,hongera kwa kutuletea mfumo mpya....
 
Leo tunacheza na everton lakini akili zote zinawaza mechi na man City itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom