Aendelee kupewa nafasi kwa ubovu huu aliotuonyesha leo na tena afadhali leo ni big match maana imemulika vitu vingi.
Dogo TAA ni beki wa kulia ambapo anaface Mashambulizi kutoka namba 11 ya adui.
Ukiachana na magoli yote kufungwa na left wing ambaye ndie dogo TAA anammark, upande wa dogo ulikuwa mbaya sana kwa counter attacks walizofanya Man Utd leo.
Upande wa Robertson, Robertson kweli alifanya kazi ya kutupotezea Juan Mata
Mkuu Kwamba Sisi Ni Wabishani! Lakini obviously TAA tokea aanze kupewa nafasi Liverpool basi Hajawahi Kufanya Makosa Ya Kizembe na Yakatuathiri isipokuwa Leo.
Na Makosa aliyofanya Leo ujue wazi kuwa amefanywa mbuzi Wa kafara (Scapegoat) Kwani Makosa Hayakuanzia Kwake Bali Yalianza Katikati pale Lovren aliposhindwa Kucheza Mipira ya juu mbele ya Powerful Lukaku.
So, Huyu dogo sio mbovu Ni Very Talented Lakini mpe haki Yake ya Utetezi Kuwa ndiyo kwanza anajifunza sasa bado hajawa mzoefu! Lakini after next two season I mean 2020/21 huyu dogo atakuwa Ni Zaidi ya Beki.
Dogo Makosa Yake Ni Leo tu, tena kakosea Katika Game kubwa iliyo na a lot of pressure!
Mkuu Hata Huyo Clyne Kashakosea Michezo mingi na Kutucost Points muhimu sana Lakini bado tulimuamini.
Hata Huyu Robertson amini iko siku wakati Ni mchezaji Ni lazima atakosea na atakuja kujifunga hasa! Je utakuja kusema mbovu asichezeshwe?
Mkuu Makosa ya Kimchezo usiyafanye ndiyo Udhaifu Wa Mtu.
Unakumbuka Msimu uliopita Pale Old Trashford Huyuhuyu TAA alicheza vyema na Kumdhibiti Anthony Martial kiasi ya Kwamba Martial Hakufurukuta na sote tukamsifu?
Kwanini Kukosea Leo moja tuanze personal attack dhidi Yake?