Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Clyne named in Liverpool's travelling squad to face Porto.


27788777_2043612349249582_8076455588983246683_o.jpg
 
Hi VVD hile style anayocheza Ni Mbinu ya Klopp au Ni Ujuzi wake mwenyewe? 😀 😀 😀

Yani Wakicheza Matip na Lovren Unawakutia Wote Wawili Wanakuwa in the Same lane, tofauti yao Ni Kuwa Matip anakuwa upande Wa Kulia na Lovren Kushoto!

Lakini VVD unamkutaga Wapinzani Wanapokuja Kushambulia Yeye Kajivuta Nyuma Kabisa ya Matip in case Matip na DM wamepitwa basis Yeye Anaudaka Mpira Kiubwete kabisa.

Nafikiri ni uzoefu wake unaotokana na kujifunza zaidi. "Akili za kuambiwa unachanganya na za kwako". Nakumbuka kumuona Rio Ferdinand akicheza hivyo mara kadhaa. Na kama sijakosea Rafael Marquez wa Barcelona. .
 
Liverpool FC updates:

• Can was among the Reds contingent but is suspended for the game at Estadio do Dragao after collecting three yellow cards during the tournament’s group stage.

• Gomez has missed the previous two matches but Klopp is hopeful of having the defender available for selection if needed.

• The Centre-back Ragnar Klavan is fit again after recovering from injury.

• Jordan Henderson is in contention again after staying at Melwood as Southampton were defeated 2-0 on Sunday, to build up fitness following his spell out with a hamstring injury.

• Danny Ings and Virgil van Dijk were added to Liverpool’s Champions League squad this month and are therefore eligible for the remainder of the team’s participation in the competition.

• Right-back Nathaniel Clyne, who has missed the entire campaign to date, travelled to Portugal after returning to full training this week though is not yet an option for Klopp.
 
Gomez ana tuyeyusha sana!
Anytime kwangu TA ni zaidi ya Gomez
Milner ni mzoefu sina pingamizi


Ni Kweli Gomez anatuyayusha lakini Kwasasa Gomez ndiyo Chaguo la Kocha. Lakini Nafikiria Kuanzia Mechi ijayo ya EPL na West Ham atarudi Mwenyewe Clyne Katika Namba Yake.
 
Leo liverpool nataka niwaamini...!! sasa ole wenuu mnichaniee mukekaaa


Ingawa Wewe Ni Mshabiki Wa Kubeti na si Mshabiki Wa Mpira, Lakini Kwa [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] usiwe na Wasiwasi Kwa Liverpool huchani Mkeka Wako Hata Siku Moja.
Kwa [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] hapa sikupi uhakika wowote kwani Hile Ligi haitabiriki kwa Hata anaeshuka Daraja.
 
Liverpool team:
Karius, Alexander-Arnold, Van Dijk, Lovren, Robertson, Henderson, Milner, Wijnaldum, Mane, Salah, Firmino.

Substitutes:
Mignolet, Gomez, Moreno, Lallana, Oxlade-Chamberlain, Ings, Matip.

Ingawa Midfield Yetu inaonekana ni Nyepesi Sana leo lakini Kikosi Ndiyo Kiko hivyo Ni Muhimu Kukiamini Kuwa kinaweza Fanya lolote.
 
Salahhhhhh
2-0
Kisha waje hapa hao wanao ijua Liverpool kuliko Klopp na analysis zao mbuzi za kutajana majina kama hawa ndiyo wanajua kuichanbua Liverpool hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom