mr94
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 286
- 309
Leo hakuna lolote mkuuSubiri dakika 90 ziishe manake hawa referees hawaipendi Liverpool kabisa
Lolote linawezatokea kama last weekend
Leo hakuna lolote mkuuSubiri dakika 90 ziishe manake hawa referees hawaipendi Liverpool kabisa
Lolote linawezatokea kama last weekend
Tatizo linakuja wanashinda ila kila wakiongeza spidi, kuna jamaa mbele ana spidi zaidi yao, hii ni kila msimu liver inapo improve.Liverpool anaweza mfunga yyt na popote pale!
Soton kakaa kwake easy tu
Sasa ni Porto
Tatizo linakuja wanashinda ila kila wakiongeza spidi, kuna jamaa mbele ana spidi zaidi yao, hii ni kila msimu liver inapo improve.
Nategemea msimu ujao watakuwa washindani angalau wa Mancity, naamini Mancity watakuwa ktk ligi ya kwao wenyewe msimu ujao, liver watapambana angalau bingwa apatikane mwezi wa nne.
Mkuu sasa hivi sina tatizo na beki ,tatizo liko kwa kipa tu .ila tunaanza kuona mabadiliko
Liva tumeshindaKing Ngwaba nipe matokeo mkuu ndo narudi toka mahangaikoni.
Tumeshinda goals ngapi?Liva tumeshinda
Mbili bila mkuuTumeshinda goals ngapi?
Usingizi mwororoMbili bila mkuu
Wafungaji salah na firmino
Nadhani wewe ni mgeni wa EPLTatizo linakuja wanashinda ila kila wakiongeza spidi, kuna jamaa mbele ana spidi zaidi yao, hii ni kila msimu liver inapo improve.
Nategemea msimu ujao watakuwa washindani angalau wa Mancity, naamini Mancity watakuwa ktk ligi ya kwao wenyewe msimu ujao, liver watapambana angalau bingwa apatikane mwezi wa nne.
King Ngwaba nipe matokeo mkuu ndo narudi toka mahangaikoni.
Haka kamsemo kwa "mwakani" mnakapenda sana huko kwenuNadhani wewe ni mgeni wa EPL
Anacho fanya Pep leo alifanya Mourihno 2004 huko tena misimu miwili LKN akaja dhibitiwa plays zake!
Pep kaisha anza dhibitiwa na ukiona games za hivi karibuni hana mbinu mpya ukimdhibiti De Bruyne na Silva!
Klopp anajenga team na mwakani mbele ya VVD anacheza mnyama Keita na kipa huyu huyu Karius!
EPL itawaka moto mwakani!
Kiukweli naiona Liver mwakani ikiwa timu itakayokuwa vizuri. Upande wa defense VVD kamaliza utata.Nadhani wewe ni mgeni wa EPL
Anacho fanya Pep leo alifanya Mourihno 2004 huko tena misimu miwili LKN akaja dhibitiwa plays zake!
Pep kaisha anza dhibitiwa na ukiona games za hivi karibuni hana mbinu mpya ukimdhibiti De Bruyne na Silva!
Klopp anajenga team na mwakani mbele ya VVD anacheza mnyama Keita na kipa huyu huyu Karius!
EPL itawaka moto mwakani!