Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

It is possible, au pia ilikuwa mbinu ya kisaikolojia kwa Pep.
 
Nilichokiona Klopp ni bingwa wa kutengeneza yaani AOC ni alikuwa kwenye form nyingine kabisa
 
Jamaa anauliza maswalibya kipuuzi kweli yaani anashindwa kujiuliza timu yake iko nafasi ipi
 
Mwenyewe niljua
 
Kila ninapotembelea Liverpool Echo nikikutana Na Habari inayosema "HENDERSON IS BACK IN TRAINING " basi nazidi Kupata Headache!! [emoji16] [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa hili Jamie Carragher Yupo Sahihi Kuhusu Bobby!

Jamie Carragher believes Liverpool striker Roberto Firmino is “one of the most underrated players in the Premier League,”

Media Hazijamkubali bobby kama zinavowafanya wawe overrated kina Jesus, Lacazzete, Lukaku na Moratta.

Kwahiyo bobby Kawa overrated kabisa kkiasi ya Kwamba hakionekani kile anachokifanya EPL.


 
Time to Pressurize Klopp Kuanza Kumtumia TAA badala ya Gomez kuanzia Mechi Ya Swansea City.

Gomez anatugharimu kwa Kila hali.
 
Baada Ya Klopp Kusema Loris Karius Ndiye Kipa Wake Namba 1, Simon Mignolet Aanza Kuizungumzia Khatma Yake na Napoli Tayari wameshaonesha Nia Ya Kutaka Kumsajili.
 
Kiungo wa kati wa Liverpool raia wa Serbia Marko Grujic, 21, analengwa kwa mkopo na Middlesbrough na Cardiff City. (ESPN)
 
Salah kwa kiwango hiki cha uchezaji alichofikia inabidi timu imuongezee mshahara walau mpaka £140,000 kwa wiki hivi. Nitashangaa sana kama LFC ilimlipa Baloteli £130,000 kwa wiki halafu ikashindwa kumlipa Mo Salah hio hela!
 
Salah kwa kiwango hiki cha uchezaji alichofikia inabidi timu imuongezee mshahara walau mpaka £140,000 kwa wiki hivi. Nitashangaa sana kama LFC ilimlipa Baloteli £130,000 kwa wiki halafu ikashindwa kumlipa Mo Salah hio hela!


Mshahara Hauongezwi Kama Wa Mfanyakazi Wa Serikali anapoongezewa na Raisi. Bali Huongezwa Pale Anapoongeza Mkataba Mpya tu...!

Kumbuka Mo Salah Aliponunuliwa Hakuwa hivi alivyo sasa! Kwahiyo alikubaliana Mshahara unaostahiki kulingana na Kiwango Cha Wakati huo.

Atakapoongeza Mkataba Mpya Ndiyo hapo Yeye Mwenyewe atadai new [HASHTAG]#salary[/HASHTAG] inayoendana na Kiwango Chake.

Kumbuka alipokuwa AS Roma alikuwa analipwa £50,000/= per week, Na Alipokuja Liverpool katika Negotiation alidai ili Asaini Mkataba na Liverpool ni Lazima alipwe £90,000/= kutokana na Kuwa ilikuwa ni hela ndefu kulingana na alikotokea
na Liverpool wakamkubalia kumlipa hivyo.

Sasa Hapa hatuwezi ilaumu Timu wala kumlaumu Yeye..

Tusubiri Atakaposaini Mkataba mpya Ndiyo atadai hela Ndefu kama aliyodai VVD £180,000/= kwa week.

Kwahiyo Mo Salah kama atadumisha Kiwango hichi alichonacho basi Wanaweza kumzidi Hata VVD na akawa ni Mchezaji anaelipwa Zaidi Ndani ya Liverpool.
 
Liverpool's next 5 fixtures:

Swansea (A)
West Brom (FA Cup) (H)
Huddersfield (A)
Spurs (H)
Southampton (A)


Key Points:
• Mchezo mmoja Nyumbani Wa FA Cup
• Mchezo mmoja Nyumbani Wa EPL
• Michezo Mitatu Ugenini ya EPL


 



Klopp Kaamua Kuwekeza Kwa Vijana Wake Mwenyewe Bila Ya Kuwa Na Wa Urithi..
Kama Namuona ni LALLANA na FIRMINO pekee Ndiye atakaebakia.

• Mignolet karibu atapotea FXI
• Sturridge ameshapotea FXI
• Hendo Karibu atapotea FXI
• Moreno Karibu atapotea FXI
• Clyne Karibu Atapotea FXI
• Lovren Karibu atapotea FXI
• Origi ameshapotea FXI
• CAN yupo njia Panda kupotea
• Flanagan ameshapotea Kwenye Timu
• Marcovic ameshapotea Kwenye Timu
 


Mkuu mbona scenarios kama hizo tumeziona sana Arsenal ambapo Sanchez alivokuwa kiwango kinapanda walikuwa wanamuongezea mshahara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…