View attachment 643804
kazi ya kuziba pengo la points 14 ili tuwe champions is an insurmountable kwa kasi aliyo nayo Man City sasa.
we (LFC) are champions - lakini Klopp's arrogance (pamoja na ubora alio nao) inatuchelewesha kufikia huko.
lazima ajue wenye timu tupo hai and we will fight anyone who tries to drag us back!
baada ya kuona wengi wetu tunataka kumgeuka walau sasa ameanza hata kuzinduka na kuanza ku-implement tactical flexibilities kwenye mfumo wa uchezaji, which is good.
tuendelee kumtia Klopp jamba-jamba hivi hivi hadi atambue kuwa LFC si timu ya kuwania top 4 pekee bali silverware.
the day tukivuta ndoo walau moja hata ndogo zile cup competitions, nitalegeza mapigo yangu kidogo kwa Klopp.
na nitaacha kabisa mapigo dhidi yake na kuanza kum-adore kama legends wengine akibeba EPL au UCL!
huu ushindi wa mfululizo unaondelea sasa dhidi ya lowly opponents kama West Ham, BHA, etc....this cannot paper over the glaring cracks that we have in our team.
a pathetic defence and a shiite holding midfield - these are the real cracks - na hapa ndipo tuendelee kumshikiniza Klopp usiku na mchana lazima afanye strengthening, siyo kuanza kutongozana na akina Aubameyang kama nilivyosikia kwenye grapevine!