Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tetesi
Kocha wa Misri Hector Cuper anadai kuwa Real Madrid wanammezea mate mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah, 25. (ON Sport TV - Egypt, via Evening Standard)
 
Tetesi
Kocha wa Misri Hector Cuper anadai kuwa Real Madrid wanammezea mate mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah, 25. (ON Sport TV - Egypt, via Evening Standard)
Waambie waache upuuzi salah hauzwi,
 
Kama wanamtaka Salah watupe Marco Asensio na pauni milioni 100
 
Kama wanamtaka Salah watupe Marco Asensio na pauni milioni 100

Asensio Pia Halingani... Watupe ISCO na £150m pamoja na Huyo Asensio Aje Kwa Mkopo Misimu Miwili na Kila Kombe Real itakalochukuwa Hata Kama ni Micky Mouse basi Watupe £10m Kwa Muda Wote atakaokaa Real...
Venginevyo basi wakae pembeni....
 
Tetesi
Kocha wa Misri Hector Cuper anadai kuwa Real Madrid wanammezea mate mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah, 25. (ON Sport TV - Egypt, via Evening Standard)


Waache Waendelee Kummezea Mate Lakini Wafahamu Kuwa Ya Coutinho Yatakuwa Madogo.....
Waache Kumfananisha Salah na Vitu vya Kipumbavu....
Wao Wateja Wao ni De Gea na Hanry Kane sio Salah the True King Of Egypt...
 
Njia Pekee Ninayoiona Hapa Ni Kwamba Liverpool Anahitaji Kushinda Michezo 10 mfululizo ili awe unstoppable....
Vinginevyo itakuwa ni kugombania top 4 kama Kawa.
 
Ni kweli jamaa hastahili kabisa kuwa captain.Na sijui Rodgers aliona nini kwake. Lakini nikiangalia kwa kikosi chetu cha sasa hivi sioni mwenye qualities za kuwa captain

Bora hata apewe :
Mane
Milner
Sturridge kama angekuwa anapata namba
Coutinhno
Can
 
Ni kweli jamaa hastahili kabisa kuwa captain.Na sijui Rodgers aliona nini kwake. Lakini nikiangalia kwa kikosi chetu cha sasa hivi sioni mwenye qualities za kuwa captain
Milner na Matip
 
Ni kweli jamaa hastahili kabisa kuwa captain.Na sijui Rodgers aliona nini kwake. Lakini nikiangalia kwa kikosi chetu cha sasa hivi sioni mwenye qualities za kuwa captain


Rodgers alimpa uCaptain Kwasababu Ni Muengereza tu na Wala Si Jengine....
 
Ni kweli jamaa hastahili kabisa kuwa captain.Na sijui Rodgers aliona nini kwake. Lakini nikiangalia kwa kikosi chetu cha sasa hivi sioni mwenye qualities za kuwa captain


Kwavile Liverpool ina utamaduni Wa Kuwapa uCaptain WaBritish! Huenda Our Future Captain akawa Gomez, Trent au Woodburn yeyote kati ya hawa Ambaye atamaintain nafasi katika Kikosi Cha Kwanza..... Percentage Kubwa Zaidi ipo Kwa Gomez.
 
Bora hata apewe :
Mane
Milner
Sturridge kama angekuwa anapata namba
Coutinhno
Can
Mkuu kuwa captain sio uwezo wa uwanjani tu, ni pia uwezo wa kuongoza wenzako kati. Hivyo vitu vyote hendo hana, je kati ya uliowataja unaona kuna mwenye uwezo wa kuongoza wenzie?
 
Mkuu kuwa captain sio uwezo wa uwanjani tu, ni pia uwezo wa kuongoza wenzako kati. Hivyo vitu vyote hendo hana, je kati ya uliowataja unaona kuna mwenye uwezo wa kuongoza wenzie?
Unamwachaj milner kwa mfano
 
Unamwachaj milner kwa mfano
Milner anaweza kuwaongoza wenzie lakini sioni nafasi ya ni milner katika kikosi cha kwanza. Keita, Lallana, Coutinho, Wijnaldum wote wako mbele yake. Hapo bado hujawataja akina chamberlain na huyo hendo
 
Milner anaweza kuwaongoza wenzie lakini sioni nafasi ya ni milner katika kikosi cha kwanza. Keita, Lallana, Coutinho, Wijnaldum wote wako mbele yake. Hapo bado hujawataja akina chamberlain na huyo hendo
Unataka kusema milner nafac ya first eleven hakuna??ipo sema tu huyu captain uchwara hendo ilibid akae sub babu milner aanze
 
Kwavile Liverpool ina utamaduni Wa Kuwapa uCaptain WaBritish! Huenda Our Future Captain akawa Gomez, Trent au Woodburn yeyote kati ya hawa Ambaye atamaintain nafasi katika Kikosi Cha Kwanza..... Percentage Kubwa Zaidi ipo Kwa Gomez.
kura yangu so far ni kwa Gomez...the boy s a quick learner...ndio usajili wa pesa ndogo wa Rodgers ambao ni value for talent kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom