Mkuu elewa Kuwa Zile Kelele zetu Tulizokuwa Tukizipiga Mitandaoni ambazo ulikuwa Ukizipinga Ndiyo Zinazomfanya Aanze Kubadili Mbinu Za Kiufundi Japo Kwa Wachezaji Hawahawa.....
Usifikirie Kuwa Malalamiko Yetu Kama Washabiki Alikuwa Hayafatilii Kwenye Media.....
Tulikuwa Tukilalamika Kwenye twitter ya Skysports, BBC, Liverpool FC n.k. Hatimae Waandishi Kwenye Press Conference wanamfikishia....
Na Wachambuzi was Soka Wanamfikishia....
So, Jamaa Pressure ya Media inamfanya Aanze Kubadilika Kimbinu na sasa unaona matokeo Yake.....
So, Kilichobakia sasa ni Kubadili Kikosi tu Next season Tugombanie Ubingwa Rasmi.
Kwahiyo Naanza Kupunguza Wasiwasi Kwa Klopp kidogo kidogo.....
Hivi Ndiyo Tunavyotaka Washabiki Wa Liverpool na sisi Vyenginevyo....
Hongera Liverpool...