Mkuu una moyo sana wa kumvumilia, mi sioni kama jamaa ana haja ya kubaki, he had that chance ktk hizo summer window mbili zilizopita, lakini hakuthubutu hata kuonesha kua ana solve defensive pbm kwa kusajili any top quality CB kwa pesa badala yake akaleta Matip kwa free na Klavan aliyejichokea. Mbaya zaidi summer hii wakati tunalilia beki ye anatoa pnd mil 35+ kumnunua Ox. Hivi uyu ni genius na top class manager kweli?
To be honest wouldn't give a toss kama Klopp akipigwa chini hata sasa, ikiwa tu atakuwa replaced na Manager wa calbre yake.
And yes, Klopp ameruin our only chance ya kurecover na kurudi kuwa big club kwasababu ya his ego/stubbornness kwenye TW iliyopita, but kigezo hicho hakinifanyi mimi kuwa blind na fact kuwa our owners are FSG.
People who are full Klopp Out wanasahau the fact kuwa owners wanaorun hii Club ni FSG (law-balling merchants). i mean do you expect kuwa wakimfukuza Klopp, watamleta Allegiri/Carlo/Sarr/Enrique etc? no way man. watu wanatakiwa wafikirie kuwa Klopp akiondolewa now, who will take over? and forget about Benitez, he'll never work with FSG, Gillet and Hicks poisoned FSG kuhusu Benitez. so RB kuja LFC ni mpaka kuwe na new owners and not hawa tulionao sasa. FSG had a chance to sign Benitez kipindi kile walichonunua Club, but they didnt approach him, pia walikuwa na chance ya kumsign Benitez walipomfukuza Daglish, then ikaja nafasi walipomfukuza Rogders, na kipindi hiki a lot of good managers walikuwa available (Carlo/Klopp/RB etc), and guess what mtu wa kwanza kumfuata alikuwa ni Don Carlo, na alikubali kuchukua kazi kwa sharti la kuchange spine ya team ambapo kingehitajika kiasi kikubwa sana kuibadilisha team, kama kawaida FSG wakakimbia. later wakafanikiwa kumshawishi Klopp kuja LFC, and sadly Klopp turned to be a "yes man".
Klopp is partly responsible kwa blunder za msimu huu, but kama hudhanii kuwa FSG ni moja kati ya sehem ya matatizo kwenye Club, basi utakuwa unajidanganya sana. club ina personnel problems, people like MIke Edwards hakutakiwa kuwa Sports Director wa Club aina ya LFC, then CEO ambaye anashinda twitter tu, and then mtu anajiuliza why we're in crisis right now? Club ipo hovyo kwa kila department. you can blame Klopp kwa ubovu wa team ndani ya uwanja kwasababu ni wajibu wake but tusisahau pia kuna amateur people ambao wanaiongoza hii club.
am not against na watu wanaotaka Klopp aondoke, (Kama nilivyosema huko juu), but sipo tayari kuendure maumivu mengine ya kuwa na mid-table managers, FSG wakimfukuza Klopp sahiv, best options ambazo watakuwa nazo ni kina Marco Silva, Martinez, De boer, and bunch of average managers from Spain/italy/france. na most likely scenario itakuwa ni STEVEN GERRARD (Give it to Stevie till the end of the season), thats the most scariest scenario kama Klopp akifukuzwa now, FSG cant convince managers kama Sarr/Jardim to join the Club, Carlo is free again but anafanya kazi kwenye big budget, Blanc/Tuchel are shit.
so kama nikisikia FSG are approaching managers like Sarr/Jardim/Allegri/Carlo then wont be having problems na Klopp Kuondoka, but kama ni kina Marco Silva then i'd rather have Klopp till the end. i've already witnessed a manager who couldnt even attract a fly to join the club and instead seeking help from the club's captain (Stevie) to pursuade top players to join the club, na pia nishashuhudia a manager who signed Henderson/Downing/Adams/Enrique etc and without forgeting the owl faced manager, managing Liverpool football Club. dont want to go back kwenye hiyo dark era man. though Klopp ana ego/stubbornness lakini ana pulling power and good players wants to play for him, thats why i'm giving him another 2 windows to sort his ego out.
my biggest problem with Klopp ni ignoring our glaring weaknesses and putting his faith to crap players na kuamini kuwa he can turn water into milk, but now am glad kwasababu ameshagundua kuwa alifanya makosa kumuamini Lovren, though imemchukua 2 years kugundua hilo, but thats pleasing.