Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Sawa nimekuelewa, kwa nini Clyne hajajumuishwa?
Mkuu Clyne na Lallana Hawajajumuishwa Kwenye Kikosi Kwasababu wana injuries za Muda Mrefu na Mpaka sashivi Haijajulikana Kuwa Watarejea Lini..
Sawa nimekuelewa, kwa nini Clyne hajajumuishwa?
Sawa nimekuelewa, kwa nini Clyne hajajumuishwa?
Huwezi ku compete kikosi cha Liverpool na Chelsea msimu huu. Ni wazi kabisa kikosi cha Chelsea kimehimarika kila idara kwanzia festi 11 mpka benchi. .
Liverpool ina tatizo kubwa la mabeki hivyo kuwapa kazi kubwa viungo ...mechi nying mmetufunga hasa msimu uliopita kwa msaada wa Cotinyo, na mmeshamzingua tiyari. ..msimu huu ni lazima mkubali kufungwa tu ...hakuna namna!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla Mourihno ajatua darajani ..nilikuwa mshabiki namba tatu Chelsea kwa hapa bongo![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe umeletwa na abramo hapo darajani? Mimi sio chelsea fan ila nimeijua chelsea kipindi gullit anawalaza wachezaji wenu na vichupi kwenye hostel za mabint kisa wazembe uwanjaniKabla Maihno ajatua darajani ..nilikuwa mshabiki namba tatu Chelsea kwa hapa bongo![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahahah umeua babaKwahiyo wewe umeletwa na abramo hapo darajani? Mimi sio chelsea fan ila nimeijua chelsea kipindi gullit anawalaza wachezaji wenu na vichupi kwenye hostel za mabint kisa wazembe uwanjani
Unaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.Na Ndiyomaana Ninajiamini Kusema Kabla ya Mwaka 2004 (Kabla ya Kuja Morinho) Chelsea Haikuwa na Mshabiki Wowote Ndani ya Bongo.. Na Ndiyomana Washabiki Wengi Wa Chelsea ni Watu Wasiojua Mpira Kama Wewe! Zile Stats tu Za Timu yako dhidi ya Mpinzani Zinawashindeni...
Na Ukenda Mbali Kidogo Tu Ukwaambia Wale Compulsive Liars Wanaojidai Kuipenda Chelsea Kabla Ya Morinho Wakutajie Vikosi vya Man U na Chelsea ambavyo Chelsea iliidungua Man U goli 5 kwa Bila Mwaka 1999 na ikaamsha Furaha Kwa Sote wapinzani Wa Man U, Basi Munashondwa Kutaja...
Mkuu mbona unaongea sana mpira dk 90 tusubir hiyo SK zikiisha ndio tuongee tatizo la watanzania tunapenda sana kucheza mpira Kwa kutumia mdomoUnaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona unaongea sana mpira dk 90 tusubir hiyo SK zikiisha ndio tuongee tatizo la watanzania tunapenda sana kucheza mpira Kwa kutumia mdomoUnaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi, wewe ni shabiki wa timu ipi epl?Hi,Liverpool funs
post using my macbook air using jamiiforums app
Ma.t.ako wewe.tumekuuliza???Katika mashabiki wasiojitambua EPL,mashabiki wa Liverpool mnaongoza,hamna tafauti na mashabiki wa Asernal yaani mmpomupo tu.
Hatuji tambui kwa lipi nduguKatika mashabiki wasiojitambua EPL,mashabiki wa Liverpool mnaongoza,hamna tafauti na mashabiki wa Asernal yaani mmpomupo tu.
Hii comment inaonyesha wewe ni mgeni hapo darajani.Huwezi ku compete kikosi cha Liverpool na Chelsea msimu huu. Ni wazi kabisa kikosi cha Chelsea kimehimarika kila idara kwanzia festi 11 mpka benchi. .
Liverpool ina tatizo kubwa la mabeki hivyo kuwapa kazi kubwa viungo ...mechi nying mmetufunga hasa msimu uliopita kwa msaada wa Cotinyo, na mmeshamzingua tiyari. ..msimu huu ni lazima mkubali kufungwa tu ...hakuna namna!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukusaidieje ?!Katika mashabiki wasiojitambua EPL,mashabiki wa Liverpool mnaongoza,hamna tafauti na mashabiki wa Asernal yaani mmpomupo tu.
Watu wabishi Kama nyinyi dawa yenu huwa ni kipigoUnaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mashabiki wasiojitambua EPL,mashabiki wa Liverpool mnaongoza,hamna tafauti na mashabiki wa Asernal yaani mmpomupo tu.
Mwe naloli ukalele fijo Nkamu gwangu.