Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

So far we have a very strong attacking force and much improving backline.Kama kuna mtu mmoja tu ambaye anataka liverpool ifanikiwe ni Klopp kwasababu kutofanya hivyo kunamuathiri yeye kwanza moja kwa moja kabla ya wengine wote.

Kwa kiasi kikubwa ameweza kurudisha heshima ya klabu.Sasa timu zinazokutana na liver ni lazima kujidhatiti kwasababu wanacheza na timu inayoweza fanya lolote muda wowote.Enzi za kuichukulia poa liver zimeisha na Klopp is the one who made it possible.

Hao akina Mane walionekana wa kawaida wakati wanakuja na wengine humu walilalama kama kawaida yao kuwa amenunuliwa kwa kiasi kikubwa cha pesa wakati ni average player.Ona anachokifanya sasa pale kwenye pitch ndipo utakapokubali kuwa not every time you need to do "big signing" ili upate mchezaji mzuri.Mwalimu anamchango mkubwa sana kutengeneza timu.Na ni timu ndiyo inayocheza sio individuals.Unaweza kuwa na wachezaji top signings wote na bado ukafeli kutengeneza timu.Hiki ndo kitu cha muhimu kuliko kununua na Klopp anakiweza hiki.

Kulaumu sana bila kuangalia ametukuta wapi na tupo wapi ni kuangalia padogo sana.Huwezi jua ameongea nini na mchezaji behind the scene.Kuna January window pia.Vyote hivyo kicha mzuri anazingatia.Akinunua beki desparately afu akaja kuwa Flopp lawama zote tena zitakuwa kwake.Hata huyo Lovren anayelaumiwa sasa hivi alionekana ni mzuri sana the time ananunuliwa.Who knows kuwa VVD may be ingemtokea kama Lovren?

Sisi wengine so far tunaona developments na tunaamini tupo kwenye uelekeo sahihi na tutaweza tu under Klopp.

A top red mind eeh?Fresh tu.....

YWNWA
 
Mkuu Klopp ni Kocha Mzuri Katika Msuala Mazima Ya Ufundi, Lakini Tukubali Kuwa Ana Ukakasi Katika Masuala Mazima Ya Usajili Kutokana na Falsafa yake...

Barca walipoona wanafeli Kumchukua Coutinho, walimleta alternative wake ambae ni Dembele.

Chelsea Walipoona wanafeli Kumchukua Lukaku, Walimleta alternative wake ambae ni Morata.

Man U walipoona anafeli Kumchukua Griezman, Walimleta alternative wake ambae ni Lukaku..


Kwanini Klopp inapoonekana Wazi Kuwa anafeli Kumchukua VVD, asidhabuni Kwa alternative ya VVD akamleta??

Hapa ndiyo Klopp anapofeli kwenye usajili kwani Haiwezekani Kuwa Beki mwenye Sifa ya Kuichezea Liverpool ni VVD pekee! Kwanini asitoe dau Na kwa mabeki wengine?? Kuna Dozens of Defenders ambao ni Miles away better than our defenders, Kwanini Klopp asiwatie dhabuni na Kuwanunu ili wawe mbadala wa VVD? Lakini kang'ang'an na VVD tu!!!!

Klopp ni Lazima abadilike Mkuu...
Mkuu nitajie hao madefenders watatu tu...???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Hakuna msimu tuliosajiri wachezaji ambao walikuwa kwenye plan na wakatia saini zao Kama msimu huu falsafa zetu kipindi cha BR zilikuwa ngumu sababu ya Ian Ayre sure kwa sasa FSG waliliona ilo wakamwitaji Klopp maana ni mzuri kwenye Tactics na ubora umeongezeka since ametua Anfield nani sasa asiyetaka kufundishwa naye Couth angeondoka Lakini angalia alivyopambanana msimu ulivyoisha kupigania nafasi ya UEFA

Sent using Jamii Forums mobile app[/color]

Nikiangalia hayo maandishi Mekundu Na Kuona Kumbe Mtazamo wako sio Trophy bali ni Kupigania UEFA a.k.a Top Four! Basi Hapo Liverpool ni bonge la Timu na limeshakamilia Kila idara wala haihitaji tena kusajili au kutengenezwa zaidi kwani ilivyokuwa hatugombanii Ubingwa, basi timu ya kugombania top 4 tayari tunayo...
 
Barcelona Wameshasalimu Amri Baada ya Kuona Msimamo wa FSG kuwa ni imara na Coutinho hawezi kuondoka Liverpool Kwa Njia Yoyote...

IMG_20170901_171831.jpg


Wameandika.......

"The position of the player to stand and request the transfer, as well as refusing to play a game this season with the red jersey - and to ask not to register for the next edition of the Champions League - has not had any effect.”


Tusubiri mashabiki sasa tuone watakavyomzomea Coutinho manake wazungu hawamuangalii mtu sura wakati anapowazingua...
 
Countinho ametengenezwa na liverpool kuwa star..ila akawaona hawafai..leo hii sura yake sijui ataiweka wapi

Chelsea hazard analipwa 200k pound..arsenal hakuna mchezaji anayelipwa pound laki 200k kwa week..countinho liver walijikakamua wakamlipa hiyo laki but alitaka kuwakimbia..barca yenyewe ipo chovu imepoteza ule ushawish huenda hata champion league ikaishia 16 bora Moreno ..

Nawapongeza FSG
 
wampingao klopp wata surrender tyu wenyewe..

2008 klopp aklitokea Mainz na kutia kandarasi kunako dortmund".. alikuta tim haina pesa kwa hiyo hawez kununua top players.
alichokifanya Bwana huyu aliwaambia viongoz na maboss kwa ujumla.. hawa hawa wanatosha atawachukua na kwenye accademy.. ambao ndio hawa kina Reus Lewando Gotze na wengine years later Dortmund hii imevifunika vilabu vingi"...

Tuelewe soko halikua rahisi hata kidogo... Kuna mtu anapenda kulala njaa ili hali chakula kipoo?

Mm sio muumini wa wachezaji wenye majina!
Kama majina ndiyo soka kwa nn Manchester United walikuwa wa 6 mwaka jana?Kwa nn Man City hawajawa mabingwa na kwa nn LC walitwaa ubingwa na wachezaji hawa hawa akina Simpson walio fikizwa Newcastle kwa kiwango kidogo?
 
you can't win an EPL title with a leaky defence, unless you have a Messi or a Ronaldo on your side who will always help you to outscore your opponents....

2 clean sheets from 3 games you call it leaky defense?Ni Man U so far inaishinda Liverpool kwa defense nzuri
 
I got a chair for you boss



Huwa nahisi our top priority is surviving on epl table not to get a trophy

Liverpool for title
Easy tu na mapema!
Hata alipo mleta Mane mlilalamika sana hapa na maandishi yenu yapo
Salah tu kuja hapa mliongea sana na maandiko yenu yapo!
Sasa mnamsifia Mane ,mnamsifia Salah
Pia May mtamsifia sana Klopp
Tunawajua!!
 
2 clean sheets from 3 games you call it leaky defense?Ni Man U so far inaishinda Liverpool kwa defense nzuri
Gwa kukaja me naona kusema tuna defense nzuri baada ya match 3 tu za EPL tutakuwa tunajidanganya, tusubiri match nyingine zaidi then ndio tutajua we have solid defense au laaah.
 
Gwa kukaja me naona kusema tuna defense nzuri baada ya match 3 tu za EPL tutakuwa tunajidanganya, tusubiri match nyingine zaidi then ndio tutajua we have solid defense au laaah.

Upo sahihi sana mwipwa!
LKN Klopp anaona haya mapungufu na anayafanyia kazi
 
We have 2 clean sheets so far!
Just from 3 games!
Only Man U is ahead of us with 3!
Klopp anajua mpira kuliko sisi wote hapa!
Naona mabadiriko makubwa kwa Lovren

We have played 3 games out of 38 games..

Last season tulikuwa na clean sheet zaidi ya 7, but tuliruhusu magoal zaidi ya 50..

We have 4 competitions this season, EPL/UCL/FA/CC..klopp ameongeza depth kwenye attacking tu, but ameshindwa kwenye upande wa Centre back (ambapo ndo weak link kwenye set up ya team)

Matip/Lovren/Klavan wote hao walimiss games msimu uliopita, but Lucas alikuwepo kwaajili ya cover, msimu huu wakiumia hao, nani atacover?

Msimu uliopita injuries zilikaribia kuharibu our chances kwenye top 4, na hii ilichangiwa na depth ya team..team haina depth, tumeongeza game changer mmoja tu ambaye ni Salah..

Good defense wins you league, 2013/14 tulipoteza league kwasababu ya defense mbovu even though we had a deadliest attacking force, mwaka 2005, Benitez alishinda CL kwasababu ya Defense nzuri kwanzia kwenye group stage mpaka nusu fainali..we had Baros and Cisse leading our attacks but Hyypia and carra walikuwa key ya ushindi..

Team inatengenezwa kuanzia kwenye defense (huo ndiyo msingi wa team)

klopp had Hummels/Subotic/Piszchek/Schmelzer pale Dortmund..ndo maana alishinda makombe na hawa watu..

Hakuna team inayoshinda league kwa kufungwa goals zaidi ya 50 kwa msimu..

Ni rahisi sana kushinda knockout competitions (CL/FA/CC) hata ukiwa na backline mbovu, lakini huwezi kushinda league (games 38) kama unaleak goals zaidi ya 50 kwa msimu, kwasababu Goal difference (GD) tu inaweza ikakunyima league..

Wewe ni shabiki wa LFC na unaona ni sawa kabisa club yako kuingia msimu mpya ikiwa na same CB-backline ambayo imeleak goals nyingi kwasababu ya "uzembe" tu na wala siyo tactical approaches..

Badilikeni sometimes, acheni kuona kila kitu ni sawa kwasababu ya Klopp.. klopp ni binadamu pia, siyo Mungu kuwa anaweza akaimprove kila mchezaji, alishindwa kuwaimprove kina Immobile/Persic/Ginter/soktatis/Durm etc..
 
hao hummels subotic aliwatengeneza mwenyewe
subiri"...

usipojua ulipotoka na ulipo hauezi kujua unapoenda...
 
kAJITAHIDI sana kwa VAN DJIIK
Soton hawataki
Tusiharakishe kuchukua mtu sababu tupo desperate
Kama kikoi kile alicho kikuta allikipa CL football sioni ajabu why tusichukue EPL kwa kikosi chetu sasa!
Kumbuka tunacheza bila
Clyne
Lallana
Coutihno
Piga hesabu full squad Liverpool itakuaje?
Hatuzuiliki

So only VVD ndo beki bora duniani?

Manolas/Gimenez/Laporte/Howedes/Tah/hoedt/Sarr/Fazio/musacchio etc wote walikuwa available and gettable, but kwa miezi yote mitatu Klopp aliona ni beki mmoja tu ndiye bora kuliko Lovren?

And FSG/Klopp walijua kabisa kuwa Southampton walikuwa hawataki kudeal na sisi kabisa, why uendelee kulazimisha kufanya biashara? Na even baada ya VVD kuput in a TR FSG/Klopp walichukua hatua gani? Hawakubid hata kidogo...barca walibid mara 3 kwa Coutinho (3 times)..sisi tulifanya kipi kwa VVD ambaye ndiye alikuwa number one priority this summer?

Last season tulikuwa wazuri mpaka january, ambapo injury crisis ilihit our squad Coutinho/Mane/Matip/Lallana etc..Klopp akagoma kuongeza player yoyote january, baadae akaja kuadmit kuwa it was a "mistake" kutoongeza nguvu kwenye team..now Mane/salah mmoja wao akiumia front 3 yote inavurugika..now Emre akiumia, our midfield is screwed, we have added OX ambaye ni Sturridge 2.0 (injuries za mara kwa mara)..Henderson is playing with backheel problem..na kwa aina ya mpira wa Klopp, injuries are inevitable..sasa kwa mtindo huu tutakuwa hivi mpaka lini? Kwanini tusiwe na squad depth?
 
kAJITAHIDI sana kwa VAN DJIIK
Soton hawataki
Tusiharakishe kuchukua mtu sababu tupo desperate
Kama kikoi kile alicho kikuta allikipa CL football sioni ajabu why tusichukue EPL kwa kikosi chetu sasa!
Kumbuka tunacheza bila
Clyne
Lallana
Coutihno
Piga hesabu full squad Liverpool itakuaje?
Hatuzuiliki

So only VVD ndo beki bora duniani?

Manolas/Gimenez/Laporte/Howedes/Tah/hoedt/Sarr/Fazio/musacchio etc wote walikuwa available and gettable, but kwa miezi yote mitatu Klopp aliona ni beki mmoja tu ndiye bora kuliko Lovren?

And FSG/Klopp walijua kabisa kuwa Southampton walikuwa hawataki kudeal na sisi kabisa, why uendelee kulazimisha kufanya biashara? Na even baada ya VVD kuput in a TR FSG/Klopp walichukua hatua gani? Hawakubid hata kidogo...barca walibid mara 3 kwa Coutinho (3 times)..sisi tulifanya kipi kwa VVD ambaye ndiye alikuwa number one priority this summer?

Last season tulikuwa wazuri mpaka january, ambapo injury crisis ilihit our squad Coutinho/Mane/Matip/Lallana etc..Klopp akagoma kuongeza player yoyote january, baadae akaja kuadmit kuwa it was a "mistake" kutoongeza nguvu kwenye team..now Mane/salah mmoja wao akiumia front 3 yote inavurugika..now Emre akiumia, our midfield is screwed, we have added OX ambaye ni Sturridge 2.0 (injuries za mara kwa mara)..Henderson is playing with backheel problem..na kwa aina ya mpira wa Klopp, injuries are inevitable..sasa kwa mtindo huu tutakuwa hivi mpaka lini? Kwanini tusiwe na squad depth?
 
2 clean sheets from 3 games you call it leaky defense?Ni Man U so far inaishinda Liverpool kwa defense nzuri
Bado hujakutana na wababe wako
Bournemouth
Southampton
Burnley
Leicester
Stoket
2 clean sheets from 3 games you call it leaky defense?Ni Man U so far inaishinda Liverpool kwa defense nzuri
Bado hujakutana na wababe wako
Bournemouth
Southampton


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye hili naona JK kaamua mwenyewe kusokomeza shingo lake kwenye kichinjio.
no silverware or glory come May 2018, he's going to get sucked trust me. those freaking Yankees (FSG) - as we have known them for ages - will always be looking for a fall guy for any and all our failures. JK will be that guy.

so, we seem to be totally f....d.

now what? keep on whinning like a bunch of whores? he'll NO!
let's figure out how JK can be helped.

ungepewa role ya kumshauri JK kuhusu kuimarisha defence yetu kwa kuwatumia akina Levron...ungemshauri afanyeje?

I personally think our defensive woes are a cocktail of personnel mediocrity (40%) on one hand but also an ineffective defending system on the other (this in my opinion accounts for 60% of the problem).

I know JK likes his teams to go gung-ho. he isn't someone to ask his players to do the out-and-out defending - he therefore needs help on this aspect.

thinking outside the silo...goalkeepers have got their own coaches, why the same cannot be adopted on the defending? why can't JK for example utilise the experience of someone like Callagher to be his technical assistant in this area?

defending is more of a mental attribute than physical prowess... remember Martin Skrtel? Callagher would be more than capable of instilling this attribute into the likes of Lovren.

otherwise (unless this JK 's gamble miraculously pays off which I doubt) we have to brace ourselves up for one long heart-jerking, mental-straining and gut-shuttering hell of a season once more!

Tatizo la defense pale LFC ni "individual" na siyo collective..

Lovren ni accident waiting to happen..you cant coach him at all..

Magoal mengi tunayofungwa ni kwasababu ya uzembe wa Lovren/Mignolet..

Lovren cant tackle, cant defend on front foot, shit in the air, cant read defensive lines, panick when under pressure, slow and braindead..only good at marking flat-bully Strikers..

We just needed a good/leader/strong CB to partner Matip..

Now Klopp will need to play a full compact football..meaning will have to play counter attacking football ili kuilinda back line yetu but again tunaweza kustruggle dhidi ya team ambazo zita-sit back na kudefend deep (kama crystal palace)..i know tutashinda kwenye games kubwa kwasababu huwa hazi-sit back na kudefend, huwa Zinacheza open-football kama sisi, ndiyo maana inakuwa rahisi kushinda dhidi ya team kubwa (hata kwenye CL, tutashinda a lot of big games). Lakini kama tukiruhusu team ziingie ndani ya box yetu mara kwa mara then Lovren lazima atafanya makosa..Lovren huwa anasababisha tension kwa wenzake ndani ya box kwasababu zisizo za msingi..

But watu wanakwambia Lovren ameimprove baada ya 2 clean Sheet, he's 28 and been at LFC for 3 years, na bado watu wanaona jamaa kaimprove baada ya 2 clean sheets, wakat walitakiwa kujiuliza ni kwanini kila msimu Lovren huwa anakuwa Villain? Na kwanini uwe na need ya kusema a 28 year-old CB, ambaye amenunuliwa for £25m "anaimprove" baada ya kuwepo LFC for 3 years..
 
hao hummels subotic aliwatengeneza mwenyewe
subiri"...

usipojua ulipotoka na ulipo hauezi kujua unapoenda...

Hummels/Subotic are natural good DF..

Lovren is not a good DF, yupo hivyo tangu yupo Lyon..

BTW, klopp bought Hummels/Subotic for peanuts.. Lovren kanunuliwa kwa £25m

Sasa utamtengenezaje mchezaji uliyemnunua kwa £25m? Mchezaji wa bei hiyo ananunuliwa kwaajili ya kuimprove team na siyo "kutengenezwa"
 
vvd angetupeleka level tofaut..hamna cb epl mweny uwezo wa kuplaymake kama vvd. yani kwa uwezo aliokua nao vvd wa kupiga pasi naamin kipind tuna mpira vvd angekua anastep to midfield halaf one of emre or hendo wanamcover maana he is better passer than both of them...

Sent using Jamii Forums mobile app

Top Reds watakwambia una "Agenda"...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom