Liverpool for title
Easy tu na mapema!
Hata alipo mleta Mane mlilalamika sana hapa na maandishi yenu yapo
Salah tu kuja hapa mliongea sana na maandiko yenu yapo!
Sasa mnamsifia Mane ,mnamsifia Salah
Pia May mtamsifia sana Klopp
Tunawajua!!
Coutinho jaribu kumsamehe mkuu maana hata ungekuwa ni wewe hii hali ingekukuta tu.Mkuu ukiniletea andiko lolote nililowahi mlaumu mane au Salah sitakuja ilaumu timu yangu kamwe
Mimi siyo shabiki wa lovren, Karius na the capt then klopp now nimemuongeza the magician
Ngoja tusubiri hiyo trophy, ndo kitu pekee we pray day & night not blah blah za our very strong rhythms song we got
hao hummels subotic aliwatengeneza mwenyewe
subiri"...
usipojua ulipotoka na ulipo hauezi kujua unapoenda...
mkuu, bahati mbaya sisi wengine siyo wanazi (fanatics) wa timu bali ni wafuasi (fans).2 clean sheets from 3 games you call it leaky defense?Ni Man U so far inaishinda Liverpool kwa defense nzuri
Sijasema,.. Amtengeneze Lovren chief"...Mkuu Unaishi Dunia gani?? Unategemea Klopp Kumtengeza Lovren Mchezaji Anaekimbilia umri wa Miaka 29???????????
You got my supportSijasema,.. Amtengeneze Lovren chief"...
But Nina Iman kuu na anachokifanya Klopp"...!!!
Maana hata Suarez kipindi kila akitakiwa na asernal alileta TR but ikakataliwa na akacheza kwa kiwango cha juuCoutinho jaribu kumsamehe mkuu maana hata ungekuwa ni wewe hii hali ingekukuta tu.
Gomez anaweza ni beki wa kati yule pasee sema Kloop anamuweka pembeniMimi sijawahi kumkubali Lovren.
Hivi pale U20 hakuna dogo wa kumpa challenge tu.
Yule naye ana mizinguo mingiii.Gomez anaweza ni beki wa kati yule pasee sema Kloop anamuweka pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu Chamberlain ni bora angebaki tu arsenal sasa COU yupo ina maana soon kati ya Can Wildinum au Salah.mmoja wapo atasugua kumpisha Le magician
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule naye ana mizinguo mingiii.
Mkuu naona ushajikatia tamaa mapema msimu huu, Klopp alikosea sana kutotafuta alternative ya VVD hii kitu mimi pia naamini sana itatugharimu tena msimu huu kama msimu uliopita, Ukweli mchungu tujiandae kisaikolojia msimu huu kama tunacheza BIKO kuna kupata na kukosa.Mkuu Salah hawezi kakaa Benchi Kutokana Na Tactics Za Klopp za Kutengeneza Pace with pressing...
Pale aliyekuwa yupo katika risk ya Kupoteza nafasi atakaporejea Coutinho ni katika ya Gini na Can... Na atakaporejea Lallana ndiyo Dilemma itazidi kuonekana....
By the way! Next season tetugemee muonekano mpya wa Timu yetu..
Mambo waliyo Fanya Gigi na Can katika mechi mbili za Hefen na Arsenal si ya kitoto, huyu Cou ajiangilie Mara mbiliMkuu Salah hawezi kakaa Benchi Kutokana Na Tactics Za Klopp za Kutengeneza Pace with pressing...
Pale aliyekuwa yupo katika risk ya Kupoteza nafasi atakaporejea Coutinho ni katika ya Gini na Can... Na atakaporejea Lallana ndiyo Dilemma itazidi kuonekana....
By the way! Next season tetugemee muonekano mpya wa Timu yetu..
Chamberlain ni wa FA na Curling Cup , sioni atamuweka nani benchHivi huyu Chamberlain ni bora angebaki tu arsenal sasa COU yupo ina maana soon kati ya Can Wildinum au Salah.mmoja wapo atasugua kumpisha Le magician
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo waliyo Fanya Gigi na Can katika mechi mbili za Hefen na Arsenal si ya kitoto, huyu Cou ajiangilie Mara mbili
Huyu ni kama SG8 ana moyo wa Liverpool sio kama hawa wapita njia amini usiamini atapata nafasi sababu atacheza kwa kujituma na kwa upendo pia.