masijala
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 280
- 425
Our Targets.......
VIRGIL VAN DIJK
ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN
RYAN SESSEGNON
NABY KEÏTA
MAURO ICARDI
sasa ndo nini hiki??? Tafuteni watu wenye winning mentality ambao wako peak, for sure i stoped calling you mediocre after seeing you capable of top 4 finish, huwezi kuidharau team inayocheza champions league ila sasa mkisajili average players tutawaita tuu med........Siku hizi Uefa inataka quality na form nzuri ya squard na sio uzoefu angalieni msimu huu squad ya barca ndo utaelewa ninachozungumza, kizazi cha kubahatisha kina alonso ambao anakuja wakawaida then anakuja kuwa dhahabu tusidanganyane