mido watakula mkong'oto mpaka wajute kwanini waliingia eplLet us win the next game. Come on you reds! YNWA
Umepata cha kuongea baada ya kutoka mafichoni. Alafu ujue kuwa abramovic anataka mafanikio siyo mtu wa sport sport. Kqma huendani na kasi yake unalimwa tu akuna namna.Klopp Next season hawezi ondoka Coz Maamuzi yetu ya Club Yanaamuliwa na Bodi ya Timu.... Unlike Chelsea Maamuzi Ya Kufukuza Kocha Anayo Abaramovic pekee... Akiamu hata kama Yupo Baa basi anafukuza tu Kocha...
Mimi ninavojua bingwa was Europe anaingia kwenye makundi ya uefa moja kwa mojaNimewasikia efm wakijadili nafasi za uwakilishi UCL.. Wanadai England itatoa timu 4 tu UCL hata kama Manchester United itawin europa league.. Nafasi 5 zingepatikana if UCL na Europa zingetwaliwa na club za England
Kama MUFC atachukua europa, timu zitazoenda UCL ni mshindi wa 1-3 kwenye PL na MUFC.. Hii imekaaje wadau..?
WAP naby kaite1.Jordan Pickford
2.Clyne
3.Maguire
4.Van Djik
5.Matip
6.Wilj
7.Lallana
8.Coutihno
9.Lacazete
10.Mane
11.Firmino
Reserves
Mignolet
Hendo
Can
Brandt
Hector
Lovren
Milner
Dan
WHAT A DEPTH?
Nimewasikia efm wakijadili nafasi za uwakilishi UCL.. Wanadai England itatoa timu 4 tu UCL hata kama Manchester United itawin europa league.. Nafasi 5 zingepatikana if UCL na Europa zingetwaliwa na club za England
Kama MUFC atachukua europa, timu zitazoenda UCL ni mshindi wa 1-3 kwenye PL na MUFC.. Hii imekaaje wadau..?
Nimewasikia efm wakijadili nafasi za uwakilishi UCL.. Wanadai England itatoa timu 4 tu UCL hata kama Manchester United itawin europa league.. Nafasi 5 zingepatikana if UCL na Europa zingetwaliwa na club za England
Kama MUFC atachukua europa, timu zitazoenda UCL ni mshindi wa 1-3 kwenye PL na MUFC.. Hii imekaaje wadau..?
1.Jordan Pickford
2.Clyne
3.Maguire
4.Van Djik
5.Matip
6.Wilj
7.Lallana
8.Coutihno
9.Lacazete
10.Mane
11.Firmino
Reserves
Mignolet
Hendo
Can
Brandt
Hector
Lovren
Milner
Dan
WHAT A DEPTH?