Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Mmmh ukiangalia game 5 zilizopita tumepata droo mbili tumefungwa tatuBIG MATCH
Lkn tutashinda!!
Mmmh ukiangalia game 5 zilizopita tumepata droo mbili tumefungwa tatuBIG MATCH
Lkn tutashinda!!
Firminho simuoni benchTwo changes.Lallana for Lucas.....Sturridge for Firmino.Attacking line impoved.WE GONNA WIN
ni ngumu kuwafunga hawa jamaa kwao naona kama tutaweza poteza hii gameMmmh ukiangalia game 5 zilizopita tumepata droo mbili tumefungwa tatu
Firminho simuoni bench
Ana tatizo la msuliFirminho simuoni bench
Milner nadhani kukosa penalty na Soton kumemkosesha sana raha!Jamani huyu Milner mbona kachoka. Pass mbovu. Kross mbovu.
Nadhani Liver inamzidi uwezo Klopp.
Hata kabla ya mechi ya WH leo. Anappteza mipira.Milner nadhani kukosa penalty na Soton kumemkosesha sana raha!
JK ataleta mtu hapo kushoto na kuna habari Robertoson na Maguire wa Hull wanakuja
Yumo kwenye mipango ya muda mrefu ya Klopp.Amesainishwa mkataba mpya juzi kati tu.Bao tatu wamekosa WHU za wazi kabisa hasa ile yadakika ya 6 na dakika ya 43
Tukichomoka hapa na kucheza CL hapo katikati aje mtu mwingine acheze na Matip
Lovren hafai kabisa
Umesahau ulikuwa unasema Milner ndio best left back kwenye EPLMilner nadhani kukosa penalty na Soton kumemkosesha sana raha!
JK ataleta mtu hapo kushoto na kuna habari Robertoson na Maguire wa Hull wanakuja