xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
HAHAHAAAAAAA steve unaelewa maana ya loser? nimekuambia mlipoteza fainali mbili ndani ya msimu mmoja, hii inatosha kabisa we kuwa loser,Spot what difference? Alafu jibu swali langu, Looser anakuzidije mzee? unakimbilia Ujumla. Looser anakuzidije?? Ilibidi saa hii uwe huko fainali. Uwe wa kwanza kwenye ligi ama wa pili, ila wa sita! Tena nafasi uliyong'ang'ania. Wewe winner unaongoza kwa madroo tena kwenye uwanja wako. Huko Europa unatiatia maji, alafu unakuja kung'ang'ana hapa.
Oooh kwa ujumla. kwahiyo kwa moja moja Liver sio Looser ila kwa ujumla?
alafu unaniuliza loser ananizidi vipi? kwani ukinizidi kwenye msimamo ndio inafuta kuwa loser? at least tuna droo but we dont lose simply bcoz we are not a LOSER as you,
any way mwamba ngoma huvutia kwake, but one trophy in TEN YEARS, TEN, alafu unataka kujifananisha na timu yenye two trophies in less than a year
hii utaipata kwa mashabiki wa liverpool tu.have a good day broh