unajua kwanini namuita loser?
1: nimemzidi jumla ya makombe na mafanikio kwa ujumla
2: kwa msimu mmoja (uliopita) kacheza fainali mbili na zote kapoteza (true definition of loser), wakati mimi msimu uliopita nimecheza fainali moja na kuchukua kombe, kwa msimu huu pia hadi saizi nimecheza fainali moja nayo nimeshachukua nasubiri ya pili saizi.
3: kwa mara ya kwanza hii naipata kwako mkuu kwamba bora uwe top four kuliko medali, OOOPSSSS hata wenger pia aliongea, ( loser mentality)
4: nimetumia pesa nyingi kusajili ndio maana makombe hayaishi, mwaka jana, mwaka huu na bado nasubiri lingine.
labda nikuulize swali, kwa msimu huu wachezaji wenu wana nini cha kujivunia? kuzifunga timu zote kubwa au kuingia top four? kwa upande wa Manchester watajivunia kuvaa medali na kufika fainali hata tusipochukua inaandikwa kwenye historia.