Daah
Kama anaona aibu vile! Ila ushungi umemkaa vizuri.
Daah
We were well beaten yesterday
Lkn ndiyo soka
Liverpool itarudi ktk form yake
We will be a champion
Ndiyo soka
Team iliyo cheza mpira imeanguka
Ndiyo soka
Lkn Liverpool itarudi tena ktk uimara wake
We will be a champion
Na bado nyie kipigo kitaendelea tu. Nyie ubingwa mnamaliza wa sita hukoDaah
We were well beaten yesterday
Lkn ndiyo soka
Liverpool itarudi ktk form yake
We will be a champion
Tuwe waungwana jamani kipindi kigumu kwao na bado mna wapatiliza na maneno ya kukatisha tamaaNadhan leo mmeamka salama kidogo, Polen sana majiran ndio ukubwa huo.
![]()
![]()
Naelekea kwa majiran wengine Washika mikuki kutoa pole.
Mvumilie tu next Spurs
![]()
![]()
![]()
Bado tupo kwenye maombolezo...hali ya hewa si rafikiNadhan leo mmeamka salama kidogo, Polen sana majiran ndio ukubwa huo.
![]()
![]()
![]()
Naelekea kwa majiran wengine Washika mikuki kutoa pole.
Mvumilie tu next Spurs
![]()
![]()
![]()
Pole mkuuNdiyo soka
Team iliyo cheza mpira imeanguka
Ndiyo soka
Lkn Liverpool itarudi tena ktk uimara wake
We will be a champion
Ndiyo soka
Team iliyo cheza mpira imeanguka
Ndiyo soka
Lkn Liverpool itarudi tena ktk uimara wake
We will be a champion
Makocha wote wa EPL wameisha jua playbooks za JKKweli ndo soka, ila dah ile consistence yenu ya mwanzo ilikuwa ni hatari.


