Leo tunampiga Chelsea
Zinabaki points 7
Tupo vizuri jamani!

Kaka Ntuzu hiyo mechi iliwaliza Liver mpaka basi
Nakumbuka Kaka....Kaka Ntuzu hiyo mechi iliwaliza Liver mpaka basi
Leo ndio rasmi tunafunga matumaini ya ubingwa kwa Liver, na Leo ndio siku rasmi ya Kutangazwa ubingwa wa Chelsea
Nakumbuka Kaka....
Leo hawa jamaa watapata shida
Nimekua najaribu kuangalia ni mchezo gani hawa lfc watacheza mpk sasa sijapata majibu.Shida kubwa sana kaka, watakuja na mchezo wa fujo wa rafu za kijinga,
Lakini hawatachomoka, watachezea sio chini ya mbili
Mkuu timu yangu sawa tia maji tia maji lakini huwezi tufunga.Nimekua najaribu kuangalia ni mchezo gani hawa lfc watacheza mpk sasa sijapata majibu.
Nimeangalia liverpool na Man City na Utd uchezaji wao ulikua ni wakujilinda sn.
Sasa nahisi leo wanaweza kufunguka kutaka kushambulia na hapo ndio watakapo umia....
I hate to say this but naiona loserfool ikitoka na point(s)Nimekua najaribu kuangalia ni mchezo gani hawa lfc watacheza mpk sasa sijapata majibu.
Nimeangalia liverpool na Man City na Utd uchezaji wao ulikua ni wakujilinda sn.
Sasa nahisi leo wanaweza kufunguka kutaka kushambulia na hapo ndio watakapo umia....
Hilo halipo kabisaI hate to say this but naiona loserfool ikitoka na point(s)
Unakufa leo mkuuMkuu timu yangu sawa tia maji tia maji lakini huwezi tufunga.
YNWANakumbuka Kaka....
Leo hawa jamaa watapata shida
Leo zinapunguzwa point 3,zinabaki pointi 7,jpili arsenal anapunguza tena 3,zinabaki 4.he he heeShida kubwa sana kaka, watakuja na mchezo wa fujo wa rafu za kijinga,
Lakini hawatachomoka, watachezea sio chini ya mbili
Wacha muuaneee eeeeeee wacha muuaneeee!!Hilo halipo kabisa
...... eeeehhh nawwkaribisha kwenye mkesha wa kuuaga mwezi wa kwanza na kuingia mwezi wa pili.Mkuu timu yangu sawa tia maji tia maji lakini huwezi tufunga.
Tusubiri muda mkuu utaongea. Lakini ...Unakufa leo mkuu
Hahaaaa chelsea anakufa leo.... hii tarehe nimeisubiri kweli chama langu litanifurahisha kama ninavyofurahi February kujaWacha muuaneee eeeeeee wacha muuaneeee!!![]()
![]()
![]()
...... eeeehhh nawwkaribisha kwenye mkesha wa kuuaga mwezi wa kwanza na kuingia mwezi wa pili.