Punainen
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,303
- 1,056
Nimesoma comment za watu humu tangu tutolewe kwenye League Cup, yaani basi tu. Inashangaza pale wanaojiita washabiki wa chelsea na wa arsenal kuiponda Liver kwa kutolewa katika mashindano ambayo wao wenyewe walishatolewa sijui lini huko!
Haya kuna hili la Mane kupelekewa private jet kumrudisha Liverpool. washamba wengi wamelishupalia! Suarez alikodishiwa ndege mara kadhaa, Coutinho na Firminho hivyohivyo... mnataka kusema kuwa mara zote hizo Liver ilikuwa kwenye crisis?!
Sikujua kuwa kuwa mshabiki wa timu pinzani inabidi upindishe mambo hata yale yaliyo dhahiri hivi. Mashabiki wanafiki na wanaojitoa ufahamu kiasi hiki nashindwa kuwatofautisha na wale wanaopaka kinyesi kwa mikono yao kwenye kuta za vyoo pale taifa!
Haya kuna hili la Mane kupelekewa private jet kumrudisha Liverpool. washamba wengi wamelishupalia! Suarez alikodishiwa ndege mara kadhaa, Coutinho na Firminho hivyohivyo... mnataka kusema kuwa mara zote hizo Liver ilikuwa kwenye crisis?!
Sikujua kuwa kuwa mshabiki wa timu pinzani inabidi upindishe mambo hata yale yaliyo dhahiri hivi. Mashabiki wanafiki na wanaojitoa ufahamu kiasi hiki nashindwa kuwatofautisha na wale wanaopaka kinyesi kwa mikono yao kwenye kuta za vyoo pale taifa!
