Hahahha najaaaa yaani nimeshangaa naona malike tu yanadisplay kwa simu kumbe na wewe umetoka kitandanii? Haya najaaaaa!!!Huyo Tee Bag kaliwa hapo hapo kwake mfulilizo na vi timu vya ajabu ajabu tu....... Seuze aje alete ngebe kwa chelsea??
Alafu ukuje tulale huko nachikia baridi [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8]
Who is Mane??Wacha weeee!!! Baada ya Mane kurudi siyo?......haya yangu macho na masikio!!!
Wewe diwani acha kuota km uko Ktk kampeni za uchaguzi ukinadi sera.... Huyo Mane ndio nani vile??Chelsea hawezi msumbua Liverpool bila hata Money-Mane! Team iliyo tolewa leo na Wolves atakaye anza Jumanne ni mmoja tu
Nilikua namuangalia flopy Mane..... So nikaona nipite kijiweni tupige story kidogo....Hahahha najaaaa yaani nimeshangaa naona malike tu yanadisplay kwa simu kumbe na wewe umetoka kitandanii? Haya najaaaaa!!!
Hahahhaha kwakweli hata mimi namuita jwa sasa Flopy Mane hahahaha.....Nilikua namuangalia flopy Mane..... So nikaona nipite kijiweni tupige story kidogo....
Uko pouwa lkn???
Wenzano wote wanajua huwezi pata hata sare Anfield ndiyo maana wanakuacha pekee yako!Wewe diwani acha kuota km uko Ktk kampeni za uchaguzi ukinadi sera.... Huyo Mane ndio nani vile??
Umepigwa na michekea mingi tu hapo kwako sasa subiri uone tunavyo kuja kukunyonga hapo hapo
Yule ni flopy tu....Hahahhaha kwakweli hata mimi namuita jwa sasa Flopy Mane hahahaha.....
Niko poa mupenzi yangu hofu kwako.
Mie na wimbo wangu tu wacha wauwaneeee!!!!Yule ni flopy tu....
Mi niko pouwa kabisa nasuburi jumanne kwa hamu tuwafunge midomo hawa mitetea....
Siku zote ukiona nimeweka kambi Ktk uzi wenu jua umeumia...Wenzano wote wanajua huwezi pata hata sare Anfield ndiyo maana wanakuacha pekee yako!
Huo wimbo usiuimbe si unajua mimi na wewe baba yetu ni mmoja??Mie na wimbo wangu tu wacha wauwaneeee!!!!
Wewe diwani acha kuota km uko Ktk kampeni za uchaguzi ukinadi sera.... Huyo Mane ndio nani vile??
Umepigwa na michekea mingi tu hapo kwako sasa subiri uone tunavyo kuja kukunyonga hapo hapo
Mimi nakuaminia Malafyale. Hizi wiki zilizopita mvua ilileta mafuriko lakini wiki ya kesho imetabiriwa jua kali, mbawa za majogoo zitakaushwa na wataweza kutembea na kulikanyaga daraja kwa madoido, mbwembwe na madaha.Wenzano wote wanajua huwezi pata hata sare Anfield ndiyo maana wanakuacha pekee yako!
..subiri utafurahi na roho yakolivalost akitwaa ndoo msumu huu naacha kushabikia mpira
Mkuu kumbuka klop anasumbuliwa na underdog tu, rejea game zote alizofungwa, Chelsea bila mane ni mwepesi sana kwa liverHuyo Tee Bag kaliwa hapo hapo kwake mfulilizo na vi timu vya ajabu ajabu tu....... Seuze aje alete ngebe kwa chelsea??
Alafu ukuje tulale huko nachikia baridi [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8]
Mkuu una tatizo la kumbukumbuWho is Mane??
Yule flopy aliekosa penati?
Yaani ata angerudi Johan Rise au Jibril Cise ata Craig Beramy sisi ndio the Blues zoa zoa
Unahitaji nani afungwe, sema kutoka kwe moyoMie na wimbo wangu tu wacha wauwaneeee!!!!