Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Ila hongereni na asanteni kwa kutimiza our wish!
Yours truly,
CFC.
Mimi Japo Nimeambulia Point Moja (Too Sad), Lakini Sikupoteza Mchezo Ndani Ya OT..... Kuna wewe sasa Chelsea uliesahau Kuwa na Wewe Utakwenda OT! nakuhakikishia Kuwa Man Atakufunga.... Man U hatakubali Kupoteza Gemu Kwa Chelsea ndani Ya OT hata Siku moja...Kipigo Kinakusubiri Kwani Na Yeye Nafasi Ya Pili/Tatu/Nne anaitaka pia....

