Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp Anahitaji Aongee Na Wachezaji Kuhusu Kuwazuia MCI wasicheze Mpira Manake Naona Wanauchezea Sana Kiasi Ya Kuweza Kuzipenetrate Midfielders Zetu....

Hata Hivyo Bado Beki Zetu Zimeweza Kudhibiti Masyamhulizi Yao Hususan Klavan Anavyoperform Sijapata Kuona...
Jamaa Akiekwa Benchi Nitaandamana...

Na Klopp Asisahau Kusimamisha Mtu Mmoja Pale Juu Wa Kudowelea Mipira Mirefu Manake Mabeki Wa MCI wanajisahau Sana na Huku Wanavujisha...
 
Liverpool kutokufikiria ubingwa wa EPL ni sawa na mjamzito wa miezi 7 kutokufikiria kunyonyesha.

Arsenal, Leic, Chelsea, Everton, City wote hao tumewapopoa.....UTD katupa point 1.

Sasa tulitakiwa tumpige nani ndo tuanze kufikiri juu ya huo ubingwa?.....na tusipofikiri sisi watafikiri kina nani?

RED MEN HOOOOOOOOOOOOOORAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAY!!!!!!!!!


Y....................................................N................................W.....................................A.
 
Huyu ndiye Klopp anayetengeneza timu badala ya mtu.

Kwa sasa timu nzima ni kama kundi la nyigu,.....kila mtu anaweza kukusababishia madhara.

Raha iliyoje kufunga mwaka na kupokea mwaka kwa kuchukua points 3 kutoka kwa mpinzani anayekufuatia?
 
Naona Unaonge kishabiki sn..... Sasa subiri muda ufike tuone mambo

Hii city iko chini ya Guardiola sio hiyo mliyoiadhibu na ikaweka historia mbaya.

Tusubiri muda ufike tuone

Nafikiri hii comment umeijibu kiushabiki sn lkn si kiuhalisia.



De bruyne, Sane, Silva na Sterling na Aguero hawa watu wakipangwa mtapata tabu sn maana sioni wachezaji wa kuweza kuwazuia hawa km wakiwa ktk form vzr kabisa

Kuwazuia hao mbili kimo wa City mfanye sn kz maana wanatiririka hao na mpira yaani ni hatari sioni namna mtakavo wazuia

Mkuu Habari Yako 😀😀?? Naona Umekuwa Mchambuzi Mzuri Sana Wa Soka...
BTW: Hongera Kwa Timu Yako Kushinda Naona Hutaki upinzani Kwenye Kutwaa Ubingwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom