Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

nafikiri Unazi unamsumbua Mie natoa Unazi, Kante ni Very Good kwenye kuharibu kama kina Makelele na Mascherano kwa hilo namsifu sana ila kwa Best Sign labda alivyoenda Leicester, so kwa Chelsea anatakiwa stats awe zaidi ambayo Mane kuja LFC watu hawajategemea atafanya vizuri hivi sio kwa mashabiki wa LFC tu hata wa nje, Mane ni Top 5 za sign msimu huu, pia tutakuwa tunamuonea Kante kulinganisha na Mane yupo mbele yake hata kina Firminho sio haki wale wafungaji sio wazuiaji so tukija hivi tunatakiwa kufananisha na mtu style moja wa kwetu japo tunamponda sana Hendo ukitizama stats zake na Kante pengine zimegongana na hapo tunalalamika Hendo hachezi vizuri je akicheza vizuri?

Mkuu unaposema stats za Hendo na Kante inawezekana zikagongana ndio unakosea zaidi,kama Kante ameshindwa kumfikia Mane huyu Hendo ndio hampati kabisa,just angalia hapa wewe mwenyewe hizi stats according to watu wanaojua mpira.
6f39a44e4ee287cdd603e19e6a29d004.jpg
 
Cameroon confirm Matip
absence..

Cameroon have now confirmed that Joel Matip
has pulled out of their squad for the African Cup
of Nations.
The Liverpool centre-back will remain on
Merseyside.
In a statement released by Cameroon football’s
governing body, they confirmed that Matip is
unhappy with the previous regime.
 
Origi was a big disappointment tonight
Jamaa anafanya kazi kubwa wala usimponde kwa mechi kwa umri wake na kaziba pengo la mtu nazani ni bonge la mchezaji aminiwe tu
Sturigge husubili wenzake wafanye kazi yeye amalize lakini Origi hutoa jasho kwa jitihada na ukiangalia vizuri aliwekewa ulizi mkali kuzingatia na matokeo yake ya hivi karibuni
Origi mzuri kuliko ata lukaku ndugu ni maoni tu
 
Jamaa anafanya kazi kubwa wala usimponde kwa mechi kwa umri wake na kaziba pengo la mtu nazani ni bonge la mchezaji aminiwe tu
Sturigge husubili wenzake wafanye kazi yeye amalize lakini Origi hutoa jasho kwa jitihada na ukiangalia vizuri aliwekewa ulizi mkali kuzingatia na matokeo yake ya hivi karibuni
Origi mzuri kuliko ata lukaku ndugu ni maoni tu

Haya ↑↑ Sio Maoni (Opinion), Bali Ndio Ukweli Kabisa (Facts) wala Hujakosea Mkuu...
 
Klopp has identified Draxler, who is set to leave Wolfsburg, as a potential January target as he looks to boost his options (Paul Joyce)
 
Julian Draxler's agents, ROGON Sportmanagement GmbH & Co. KG, are also agents for Firmino and Karius.
 
Zaha kashacheza Manchester sioni wanazi wa liver kima kenny danglish wakimruhusu klopp kumnunua huyu jamaa.
Mkuu, Klopp ndiye mwenye maamuzi ya mwisho kwenye swala la usajili. Akimtaka mchezaji hakuna cha Daglish wala nani anayeweza kuzuia.

Hiki kipengele aliki enforce sana kabla hajasign mkataba wake liverpool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom