Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
You can not win anything with kids,
ndio maana mnaenda kuutafuta muongo bila kombe lolote sababu ya kujaza jaza the so called boys wanaojua kupiga self tu
Teh teh teh teh..! Eti Selfie,
You can not win anything with kids,
ndio maana mnaenda kuutafuta muongo bila kombe lolote sababu ya kujaza jaza the so called boys wanaojua kupiga self tu
Carrick, rooney, Valencia, young, bastian walishafanya tayari msimu uliopita kutupatia FA cup, labda tuangalie hao vijana wenu watawapatia nini msimu huu nyie.
Ushaambiwa mou anakuja kutengeneza timu?Hata Kama Hatukuwin Chochote Msimu Huishia Bado Tutakubaliana Na Ukweli Kuwa Klopp Alikuta Magarasa Na Kaamua Kusajili Vijana ili atengeneze Timu itakayotumia Phylisophy Yake Yeye Mwenyewe Ni Si ile Aliyoikuta Kutoka kwa Watangulizi Wake...
Kwa Hiyo Klopp ananunua Vijana ili atengeze Future Team itakayokuwa very Competant.......
Cha ajabu Ni Mourinho Aliye Na wachizaji ambao Ni Above 32yrs old ikisha eti Anatengeneza Timu lol.... >32yrs Si wachezaji Wa Kutengeneza Timu, Bali Ni Wachezaji Wa Kuleta Trophy tu......
Nimeona sehemu kama vile PSG wameshamdaka...Draxler in
Mane out
what a deal?
.Nimeona sehemu kama vile PSG wameshamdaka...
Mkuu Draxler tayari ni PSG kandarasi ya miaka minne na nusu.
Bado.... Transfer Window inafunguliwa January... ila Hawa PSG wana asilimia 95% ya Kumdaka....
MkuuHivi Hawa Yanga na Simba wana kichaa?
How comes nao hawaendi Muhimbili hospital Au any local hospitals for charity events to show that they give back to the local community?
Kwahyo amekuja kuchukua trophiesUshaambiwa mou anakuja kutengeneza timu?

Kama kaweza kwenye kila timu aliyopita, nini kikuchekeshacho?Kwahyo amekuja kuchukua trophies![]()
![]()
Mkuu nlikuwa nafikiria huyo "portuguese Tony Pulis" ni nani?lol The Ev will try for Depay..
said on here, the kid had a potential, but it was too early for him kwenda Utd, considering walikuwa kwenye Crisis, ilikuwa ni lazima imuwie vigumu kwanza kucheza kwenye team yenye crisis kila shabiki anakuona kama mwokozo wa kuja kutatua matatizo yao. Ni youngsters wachache sana wanaoweza kuihandle hiyo pressure..
Sad to see him going to The Ev lol, man's dream was to play at Real Madrid one day..guess its all over Aisee.
and kama lisingekuwepo suala la upinzani kati ya utd na LFC, nadhan Klopp angekuwa kishafanya inquires kwa Martial. The portuguese Tony Pulis is on the Mission to ruin another very good talent. Martial will be another De Bruyne, lucky for De Bruyne, Wolfsburg came in and save him. Who will save Martial?
That Nigga Lingard cant even make the bench for LFC u18s, and he's starting ahead of Martial. You could tell why they're competting for 6th spot.
The portuguese Tony Pulis ni role model wa Brendan Rodgers, unaweza ukaona kwanini Rodgers kaharibu career za youngsters kibao pale LFC..man almost ruined Bobby Firmino career.
Hatujakuelewa ila naamini ipo siku tutakuelewaSiku ambayo Rodgers alifukuzwa LFC ilikuwa ni BORA kuliko ile ya annoucement ya Jurgen Klopp.
siku ambayo itakuja ku-top tarehe ya Rodgers kufukuzwa itakuwa ni siku ambayo tutasign a Regista. Kwa maana ya kwamba Henderson will be dropped kwenye bench and stripped off unahodha.
anyone here is a fan of French league? Or Serie A (well not a fan of Serie A either, but nmetokea kuwa fan wa Napoli lately)
Napoli (serie A) and Nice (france) plays the best football in the world right now.
ukiziangalia hizi teams, utaona ni kiasi gani tulivyo na kiungo Useless kikiongozwa na Henderson.
well, they said Klopp is Magic, thats why we're 2nd in the league na midfield hii hii.
Sema Yanga, Simba hutembelea wagonjwa na vituo vya kulelea watoto yatima wakati wa week ya SimbaHivi Hawa Yanga na Simba wana kichaa?
How comes nao hawaendi Muhimbili hospital Au any local hospitals for charity events to show that they give back to the local community?
Mkuu nlikuwa nafikiria huyo "portuguese Tony Pulis" ni nani?
kumbe ni maurine....yule wa manyumbu anaefundisha mpira wa karne ya 17..lol!....
Mimi huwa nafurahi sanq na najiskia amani kweli napoona manyumbu united wanafanya hovyo.....wakifungwa nafarijika sana
Aisee hilo chama ni lawazeeJust Like USA or CHINA; Do You Know That In EPL Man U is Now the Destination For Old Players?
Ibrahimovic.........35 Years
Carrick................35 Years
Schweisteiger......32 Years
Rooney................31 Years
Valencia...............31 Years
Young..................31 Years
That's Why Even their Stadium is Called OLD Trafford