How can we solve this now..???It is believed he is ruined by the goalkeeping coach.Don't you buy that....?
La pili ilikuwaje? Naona hapa Carragher is questioning his goalkeepingKabla ya game kuanza ndo hichi tulchokua tunakisemea, ila dah!! i still dont trust Karius
amin, AminEeh! Naomba Mwenyez Mungu usaidie West ham waongeze goli lingine la 3 na mech iishe na iwe siku mbaya kwa hawa loser fool, amin.!!!

Naona Klopp anambeba Karius sababu ya utaifa,.....sioni ubora wa kumzidi Mignolet.La pili ilikuwaje? Naona hapa Carragher is questioning his goalkeeping
Watachezaje mbali wakati wao ni LFC secrete admirers?Daaaah wanafiki nao hawachezi mbali duuuuh!!!
Kwa hiki kikosi Ubingwa upo kwenye hati hati ....yaani ni mwendo wa kuunga unga tu....daaaah!!!
Haaaaaa naona sasa unauguza maumivu hapo ulipo.Chelsea anakamiwa leo, akishinda ni droo,Liver wasituangushe sasa leo