Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Coutinho Nini!!!!!!!!!!!!!!!!
Leo hakuna bahati Mkuu.....madogo wamekazaaa.Daaah mbona kama vile hii mechi wachezaji wame-bet...!!???..heeee!!!
Huyu kocha nae kaisha ona timu haina plan b bado anafanya sub dakika ya 85 na 90...aaaaggggh
Hatujacheza ovyo japo on target ni 2 ukitizama Southampton hawajatupa tabu, LFC nafasi zetu tu ambazo kawaida zinaishia kwenye nyavu hatukuzitumia uzuri Klopp alichelewesha Mabadiliko zaidi ya hapo ni Draw inayokubalika nilichopenda Klopp baada game kuisha kaja kuwapa Players moyo na wasijione wamefungwa kwamba fikiria next.Dah.... Leo timu imecheza hovyo, Coutinho nae sijui ndo uchovu..... Ila point 1 sio mbaya...!!!
Coutihno kachoka sana ametumika na brazilDah.... Leo timu imecheza hovyo, Coutinho nae sijui ndo uchovu..... Ila point 1 sio mbaya...!!!