BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hongera Mkuu lakini afadhali nyie mmetoka na ushindi, sisi pia tulistahili kushinda hii mechi ya leo ambayo wengi tulidhani ni uchochoro mwingine wa kujizolea 3 points lakini haikuwa hivyo kidogo watuadhiri wale jamaa.
Ndiyo mefika home
Toka Bar kuona soka maana kuangalizia home bia hainogi
Na hawa Panya road simu tunaiacha home siku hizi hasa kama usiku
Liverpool tunajipa taabu wenyewe,tunakosa bao nyingi sana
Hii game ilitakiwa iishe kipindi cha kwanza tu kw abao 4