SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Halafu huyu Tony Pulis alitunyima ubingwa 2014
Da deki leo wampe dozi tu hata 4-0
Da deki leo wampe dozi tu hata 4-0
Without any doubt!"This LFC squad can beat any team" - Gary Neville
We failed again!!! We need a Clean Sheet to create more GD.....
Bonge la faida...FSG kudadekiii
They bought LFC for around £300 million and today LFC is valued at £1.2 billion
I wish I had invested in FSG
Hajiamini anasubiri Full time...
Kabisa!Anyway, the bottom line is we had a "W"
Kaka yangu Yule namjua!! jiandae anakuja kukutisha na Majogoo yake jukwaani kwako na hivi Leo ndo umebaniwa utasikia BAK Hata wewe wayaogopa Majogoo....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndiyo mefika homeMalafyale mbona simuoni kwenye uzi wao?
Yaani Klopp ni bonge la burudani sana awapo uwanjani ,wakishinda anaruka juu kama kandege,sema ni nzuri sana yuko karibu na wachezaj wake anawapa motisha ya kucheza na kuipenda timu yao.lol! Ndiyo zake hizo hahahahah ila mie kocha wao napenda kumuangalia reaction zake uwanjani. Ana midadi sana wakati mechi inaendelea ambayo nayo ni burudani ya aina yake. Halafu ananifurahisha kila mechi inapoisha hupenda kuwapa hugs wachezaji wake wote.
Kesho naombea "mabwana wale" watoe droo tu ili wabaki wote huko huko!
ahhhhh Mwenye akili kama jina lako lilivyo tafadhali sana bana usitufananishe na bwana yule asiyejielewa
