Kesho siku ya Bwanadah hata mie Juve hapo bado inaendelea? kesho usisahau na yenu manake mnaanza mazoezi kwenye park ya magari then muweke Bus lenu vizuri maije kupewa ticket!
[HASHTAG]#naiheshimusabato[/HASHTAG]

Najifunza kucheza hii style mpyaEd n Edd nEddy nakumiss sikuoni tugonge cheers!!!
naona Mane kaanza kuwafundisha wabrazil uafrika. Karibu kwenye jukwaa la furahaNajifunza kucheza hii style mpya![]()
naona Mane kaanza kuwafundisha wabrazil uafrika. Karibu kwenye jukwaa la furaha
View attachment 422560
safii sana awape dombolo ya Solo..... weeee jukwaa la Furaha wakati last week mlikuwa mnanifukuza
Mane kifaa kweli, sijui kwanini Wenger hakumchangamkia huyu mapema. Miaka mingi yeye hutaka kusajili toka nje ya EPL tu. EPL pia kuna vifaa vingi tu.
Tuliwafukuza kwa sababu mlipaki basi uwanjani kisha mkahamia humu kupaki basi tena![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
safii sana awape dombolo ya Solo..... weeee jukwaa la Furaha wakati last week mlikuwa mnanifukuza
![]()
.... huku ni furaha tu siku hiziSioni sababu ya our 150k kuuzwa maanaSturridge is available mkuu mchukueni
KwaheriiiiiTuliwafukuza kwa sababu mlipaki basi uwanjani kisha mkahamia humu kupaki basi tena![]()
.... huku ni furaha tu siku hizi
nisikuharibie Furaha yako
Najua weekend yako ni njema hope na mengine yataenda vyema,weekend njema .Sioni sababu ya our 150k kuuzwa maana
Origi yuko out of form
Ings sioni kama atarudishwa haraka kwenye timu
More over Mane January hatutakuwa naye ata-miss game 4+ ikiwemo ya ya Man u, so ni vema klopp akampa ST playing time ya kutosha ili aendane na mfumo tusije vuruga mbele ya safari
Sturridge is available mkuu mchukueni
Asante ... na mimi nakuombea pia yakuendee vema.Kwaheriiiii![]()
![]()
![]()
![]()
nisikuharibie Furaha yako
![]()
![]()
Najua weekend yako ni njema hope na mengine yataenda vyema,weekend njema .
Niko bomba, nahisi kwako kuna something wrong silioni tabasamu lako la zamani"Nipo. Hope you're well my sister.

Mkuu kuna mchezaji ambaye Wenger hajawahi kutamani kumsajili kweli?...SUAREZ, MESSI, POGBA, ZLATAN, DE MARIA. BENZEMA, TORRES,n.k wote hao walinusurika kuvalishwa nguo za Fly Emirates.Wenger siyo mtu mzuri.Mane kifaa kweli, sijui kwanini Wenger hakumchangamkia huyu mapema. Miaka mingi yeye hutaka kusajili toka nje ya EPL tu. EPL pia kuna vifaa vingi tu.
Correction- LFC didn't let Suarez go by choice!!Mkuu huyu alielewana sana na Suarez ilikuwa raha kuwaona wakifanya vitu vyao uwanjani. Nilishangaa jinsi L'pool walivyokubali kumuuza Suarez haraka kiasi kile. Tangu Suarez aondoke amebaki midabwada tu Mkuu.
Ahhhhh wapiiiiAsante ... na mimi nakuombea pia yakuendee vema.
ila kesho itendeke miujiza nije kushinda kwenu kidogo
, Najua mmenipangia sana maana week hii nimekuwa katoto kenye fujo sana,...... niliowakwaza mnisamehe, msijali sana wapendwa wangu mi nilikuwa nachangamsha jukwaa tu,kesho mje na makiss na mahug ya nguvu ya kunipongeza
