Lol, reports zilikuwa zinasema PZ ndo first target ya Klopp..but Klopp akawa anagoma kutoa €13m, despite na PZ mwenyewe kujaribu sana kuforce a move..mara ya kwanza nikawa naumia sana kwanini Klopp anabana hiyo hela..ukizingatia kuwa ni ndogo sana kwa market ya sasa? Baadae nikaanza kujiuliza kama ni first target why Klopp anaona €13m ni nyingi wakat kalipa £30m for Mane (ambaye kwa wingers alikuwa ni 2nd target?)..ndo kuja kushtuka £25m bid imeenda kwa Newcastle, hahah. Kawachezea mchezo m-baya sana Spurs na Dortmund.
Manake Zorc alikuwa anaangalia kila mchezaji ambaye Klopp anamtaka nae anaenda front, tatizo letu sisi la siku zote la negotiations ndo lilikuwa linatuangusha, Dortmund wakabeba target zetu zote mbili (Dembele na Emre Mor)..nahisi wakawa wanaangalia atamake move gani next, coz nadhan na wenyewe watakuwa walikuwa hawajaridhika na PZ, walivyoona kimya wakaamua wai-wrap up deal ya Gotze. Kumbe Master ana mawazo yake kichwani...kama umefatilia utagundua Klopp alianza kumake major moves baada ya Dortmund kumaliza usajili wao..na hata ishu ya Dahoud imekuja kuleak tayar Dortmund washamaliza usajili wao. Mane/Gini/Klavan habar zao zote zili-leak baada ya kila kitu kukamilka...so lets see kama kwenye hizi siku zilizobaki, tutasikia chochote..na nahombea kiwepo otherwise kumuuza CB for £32m haitamake sense hata kidogo.
Muangalie Ousmane Dembele pale Dortmund msimu huu..na utaelewa why Klopp wanted him so bad. Sema tu Zorc alituendea front na kwenda kuongea Na Mama yake dogo, mpaka kumualika ujerumani na kuongea nae kwa kirefu, kwa gear hiyo tu Mama zetu wa Africa unakuwa ushawamaliza. Na ndo factor kubwa iliyompeleka Dembele Dortmund. Wataalamu wa hizo style ni Barcelona. Wanaanza na baba/mama, ikishindakana huko wanakuja kwa mke..utakubali tu.