Carra alimponda sakho kua he has let the club down kwa matumiz ya madawa...haha sasa Sakho ni innocent.huyu carra sijui wap ataficha uso wakeREPORTS in France zinasema kuwa Sakho anaweza akatoka kwenye hiki kitanzi cha doping scandal..
HAHAHAHAHA.
alafu ile mijinga twitter iliyoandika Sakho kafukuzwa waombe msamaha tu au wanataka akasirike aondoke sema LFC pia wakulaumiwa ndio walioanza kumzuia kucheza na Uefa wakaiga.serious note thoough, UEFA screwed SAKHO man..
Lets sue UEFA.
LOL.
ndio matatizo ya watu kurukia wasiolijua wanafikiria kama yule mvuta Bangi wa Peckham?Carra alimponda sakho kua he has let the club down kwa matumiz ya madawa...haha sasa Sakho ni innocent.huyu carra sijui wap ataficha uso wake
Club ilikuwa ni lazima ifanye vile ili kuonekana inaenda sambamba na rules za UEFA..alafu ile mijinga twitter iliyoandika Sakho kafukuzwa waombe msamaha tu au wanataka akasirike aondoke sema LFC pia wakulaumiwa ndio walioanza kumzuia kucheza na Uefa wakaiga.
Carra ni Legend, BUT anapenda sana kuropoka..Carra alimponda sakho kua he has let the club down kwa matumiz ya madawa...haha sasa Sakho ni innocent.huyu carra sijui wap ataficha uso wake
Sema Uefa sitoshangaakwa namna wanavyochukia timu za EPL hasa Platini, Sakho ataruhusiwa kucheza France then Kama akichaguliwa kucheza Euro ikiisha ndio Uefa watatafuta sababu zengine za kumzuia wao tatizo lao ni LFC tu na timu za EPL hasa LFC. sasa LFC kama hana Kosa wampeleke uefa mahakamani na bonge la Fine.Reports suggesting that, Sakho will be available for Euros.
Na tukitaka kudevelope our prospects kama kina branagan allan basi hata bench hendo hatakiwi kukaaa.aisee tumefanyiwa dhulma sana na kilaza br uwa namkubali sana mourinho, kama hakutaki ukigoma kuondoka atakuweka benchi hadi unaomba mwenyewe kuondoka,
Sasa klopp anatakiwa kua ruthless nae kama kina mou
Lkn klopp hayuko under pressure sana kulinganisha na kina mou ambao wao wasipodeliver epl tittle ndan ya mwaka wanatimuliwa...sie klopp kwetu yuko considered kama project manager..he will be here for 6-7 years..so naturally hawez kua na ruthless streak ya managers kama kina mou

Mbona unacheka mak89?
nimecheka pale uliposema hayupo kwenye scrutiny kama mourinhoMbona unacheka mak89?
hii season inayokuja ndo mda sahih wa kumueka klopp under scrutiny. He will live and die by his signings... .kilaza br hatakua responsible tena kingine tutambue ligi inabadilika sana, maana competition inakuwa kubwa sana, kuna top managers hivyo wanatakiwa kufanya quality delivery in their teams

Eti project managerNa tukitaka kudevelope our prospects kama kina branagan allan basi hata bench hendo hatakiwi kukaaa.aisee tumefanyiwa dhulma sana na kilaza br uwa namkubali sana mourinho, kama hakutaki ukigoma kuondoka atakuweka benchi hadi unaomba mwenyewe kuondoka,
Sasa klopp anatakiwa kua ruthless nae kama kina mou
Lkn klopp hayuko under pressure sana kulinganisha na kina mou ambao wao wasipodeliver epl tittle ndan ya mwaka wanatimuliwa...sie klopp kwetu yuko considered kama project manager..he will be here for 6-7 years..so naturally hawez kua na ruthless streak ya managers kama kina mou
let's hope hatakuwa project manager atakuwa successful manager melwoodNa tukitaka kudevelope our prospects kama kina branagan allan basi hata bench hendo hatakiwi kukaaa.aisee tumefanyiwa dhulma sana na kilaza br uwa namkubali sana mourinho, kama hakutaki ukigoma kuondoka atakuweka benchi hadi unaomba mwenyewe kuondoka,
Sasa klopp anatakiwa kua ruthless nae kama kina mou
Lkn klopp hayuko under pressure sana kulinganisha na kina mou ambao wao wasipodeliver epl tittle ndan ya mwaka wanatimuliwa...sie klopp kwetu yuko considered kama project manager..he will be here for 6-7 years..so naturally hawez kua na ruthless streak ya managers kama kina mou



