Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mi naona bora hector....huyu jamaa ataimprove sana defence yetu...he is really solid kweny ukabaj na hata kweny setpieces..halaf kwend mbele he is better kuliko hata moreno. Plus he is german first choice lb...plus he is tall and strong...plus we need more germans
hahahahaha, umenichekesha hapo kwa "we need more Germans"

Yeah, Hector ndo priority nadhani, sema Chilwell ni £4m, so nadhan klopp anataka kuimarisha zaidi eneo la defense..nadhan itakuwa ni Chilwell na Hector..ila naona move ya Hector itafanyika baada ya Euros..
 
Yeah, Sticks zote tunazompa Milner, but to be honest anatakiwa kubaki, and Klopp likes him sana..

Atatusaidia katika mambo mengi, sidhan kama Next season atakuwa anaanza kama Mid..
Milner acheze winger huko huko
 
hahahahaha, umenichekesha hapo kwa "we need more Germans"

Yeah, Hector ndo priority nadhani, sema Chilwell ni £4m, so nadhan klopp anataka kuimarisha zaidi eneo la defense..nadhan itakuwa ni Chilwell na Hector..ila naona move ya Hector itafanyika baada ya Euros..
Plus hector he can play as midfilder goodly than Hendo, Milner
Pia Nmeona hector is statistically best left back in bundesliga kwa msim ulopita...amemzid ricardo rodriguez...alaba hakua lb mda wote
 
Lol huyo ni Moreno 2.0

Mzuri katika kushambulia BUT he's shit kwenye kudefend..

Chilwell and Hector are BETTER.
Huyu wa lorient mi namuona ni winger aliebadilishwa kua fb..kma ulivyosema kua ni moreno mpya
 
Plus hector he can play as midfilder goodly than Hendo, Milner
Pia Nmeona hector is statistically best left back in bundesliga kwa msim ulopita...amemzid ricardo rodriguez...alaba hakua lb mda wote
Hector is so good man, the reason why we're in for Chilwell aswell ni kwasababu kunaweza kukawa na ugumu sana wa kumpata Hector baada ya Euros..nadhan tunajaribu kucover options zote (chilwell and Hector)
 
Hector is so good man, the reason why we're in for Chilwell aswell ni kwasababu kunaweza kukawa na ugumu sana wa kumpata Hector baada ya Euros..nadhan tunajaribu kucover options zote (chilwell and Hector)
Nimeona koln wamesajil new left back..huenda hector is coming...
 
Mimi si shabiki wa liver ila sijawah iombea mabaya liver, labda icheze na timu yangu, katika wachezaji nisiowapenda liverpool nambari wani henderson.. Shabash, muingereza huyu kanipitia kushoto.
hahahahahahahahahahaha.

umenuchekesha sana mkuu makaveli10

Henderson ni moja kati ya mateso tunayoyapitia LFC fans..

Na ubaya zaidi ndiyo Captain wetu Aisee, hakuna team itakayofanya vizuri duniani ikiwa na Captain aina ya Henderson.
 
hahahahahahahahahahaha.

umenuchekesha sana mkuu makaveli10

Henderson ni moja kati ya mateso tunayoyapitia LFC fans..

Na ubaya zaidi ndiyo Captain wetu Aisee, hakuna team itakayofanya vizuri duniani ikiwa na Captain aina ya Henderson.
Hili jipu ni la kwenye kalio mkuu
 
Nimeona koln wamesajil new left back..huenda hector is coming...
Yeah, wamesajili Left-back..

Kinachotakiwa ni Klopp ku-Act fast, Verbal agreement is nothing kwa mpira wa sasa..

kusubiria mpaka baada ya Euros kunaweza kukaleta ugumu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom