Kumbuka kuna uwezekano wa kukosa yote pia: UCL na Europa.Leo Mentor atafurahi! nafikiri Tumpumzishe Coutinho ila Mignolet hajitambui sio mbaya ila Coutinho apumzishwe na Emre Can au Milner hii Game haibadilishi kitu zaidi ya kutaka ushindi wa Kuaga home game. Kushinda Europa ni muhimu sababu ya CL! zaidi ya hapo sitaki kucheza Europa tena.

ndio nilichokuwa nasema kama tukikosa Bora tusicheze kabisaa Europa kuliko kucheza tuangalie Ligi tu.Kumbuka kuna uwezekano wa kukosa yote pia: UCL na Europa.
Sunderland kabaki Big Sam anajigamba tehtehteh ila Defoe ni mnyamaaa jamaa striker! NewCastle siioni kurudi tena EPL kwenye 2yrs na Martinez anapigwa kibuti kesho So nikawekeze Sunderland msimu ujao kumaliza top 4 tehteh!
na Norwich si kama wanacheza vibaya jamaa hawana Nguvu tu tukija kwa Sunderland jamaa wanajituma na wananguvu ila beki zao mbovu! newcastle wanacheza na Mashabiki hawana Players wakutaka kubaki wanakata tamaa, Aston Villa ndio kabisa kuna game unaona kuna Players wanafikiria timu gani wataenda msimu ujao ila Sunderland wachezaji walikuwa na moyo wa nataka kubaki na hii timu na kubaki EPL!Norwich na Sunderland leo wamepigana sana.
Ila kimenishangaza hawa Norwich kukumbuka shuka kumekucha.
YNWA